HardMartin
JF-Expert Member
- Jun 8, 2012
- 304
- 107
Kweli hii ndo Tz yetu. Watu wamepigishwa interview kimyakimyaMbona mikoani interview tayariii watu wanasubili majibu tu
Kweli hii ndo Tz yetu. Watu wamepigishwa interview kimyakimyaMbona mikoani interview tayariii watu wanasubili majibu tu
na swali la introduce yourself wanalipenda hawa, karibu tupo pamojaAsante kwa kushea ngj tudese haya maswali wanaweza wakayarudia hahaa
Ameshafanya interview?Asante Mkuu, naona siku imepita kesho (j4) jioni tutakua tuneshajua hatma, ingawa matumaini ni madogo ila naamini Mwenyezi Mungu atafanya wepesi.,Inshaallah!
mimi nimepita kaka lakini sitoweza fika kesho nimepata dharura nipo mbali na dsm wala hakuna majibu hewa ni bahati tu kakaWameshatimiza wajibu wao,interview hewa imepita na majibu yameshatoka
Maswali yalikua yale yale auNdio tumeshafanya leo wale wote wa dar. Tulikua watu elfu mbili na kitu hivi
Yametoka wapi na lini? Majibu badoWameshatimiza wajibu wao,interview hewa imepita na majibu yameshatoka
Madam S maswali yalikua sehemu mbili, sehemu ya kwanza kulikua na multiple choices (ambapo palikua na maswali km mawili kati ya uliyosema wewe,,,,, what is NBS na jingine family is comprised of........ Unachagua jibu sahihi).Maswali yalikua yale yale au
Paper ilikuwa tarehe 11 na tarehe 12 wakatoa majibuYametoka wapi na lini? Majibu bado
jamani huku mwanza haya mambo yatafanyika lini? au ndio tayari wameweka vijana wao. viongozi wetu mtasaidie jamaniMadam S maswali yalikua sehemu mbili, sehemu ya kwanza kulikua na multiple choices (ambapo palikua na maswali km mawili kati ya uliyosema wewe,,,,, what is NBS na jingine family is comprised of........ Unachagua jibu sahihi).
Sehemu ya pili ilikua kujaza nafasi zilizo wazi. Maswali yake yalikua :-
1. Mention the law that govern the production of Statistics in Tz.......
2. The National Bureau of Statistics Operates under the Ministry of........
3. Population and household census is Conducted after how many years in Tz.......
4. When was the last household budget survey conducted in Tz........
5. When was the last population and housing census conducted in Tz.......
Ni mtiti kiaina, maana hadi wengine tulichemka hahaaa!
nchi hii labda waje wawekezaji tu. rushwa imetamalaki kila sektaKweli hii ndo Tz yetu. Watu wamepigishwa interview kimyakimya
mmmh, yarabi tooba. makubwa haya. inamaana waliitana tu kindugu na kirafiki eti?Mbona mikoani interview tayariii watu wanasubili majibu tu
NBS ,We deserve to hear back for the oral interview of 11/10/2017 at DUCE please even if the news is negative let us not remain in a state of anticipation, wondering if we're still in the running. We stew in silence?
duh poleni kweli waliamua kuwakomeshaMadam S maswali yalikua sehemu mbili, sehemu ya kwanza kulikua na multiple choices (ambapo palikua na maswali km mawili kati ya uliyosema wewe,,,,, what is NBS na jingine family is comprised of........ Unachagua jibu sahihi).
Sehemu ya pili ilikua kujaza nafasi zilizo wazi. Maswali yake yalikua :-
1. Mention the law that govern the production of Statistics in Tz.......
2. The National Bureau of Statistics Operates under the Ministry of........
3. Population and household census is Conducted after how many years in Tz.......
4. When was the last household budget survey conducted in Tz........
5. When was the last population and housing census conducted in Tz.......
Ni mtiti kiaina, maana hadi wengine tulichemka hahaaa!
obviously hiyo ilikua kwa dar right??? majibu ya oral hayajatoka kabisa maybe mwezi huu unaoanza wanaweza kutoaPaper ilikuwa tarehe 11 na tarehe 12 wakatoa majibu