Uncle Jei Jei
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 1,683
- 2,158
Katika bank ya NBC makao makuu pale posta kumetokea hitilafu ya umeme ambapo chanzo chake hakijafahamika!shughuli zote zimecmama na wafanyakaz wote wako nje ya jengo kupisha uchunguzi chin ya kikos cha zima moto(security group) kilichowasili mapema! Inasemekana hakuna aliyeumia!