NBC - POSTA yanusurika kuteketea kwa moto!!

NBC - POSTA yanusurika kuteketea kwa moto!!

Uncle Jei Jei

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2011
Posts
1,683
Reaction score
2,158
Katika bank ya NBC makao makuu pale posta kumetokea hitilafu ya umeme ambapo chanzo chake hakijafahamika!shughuli zote zimecmama na wafanyakaz wote wako nje ya jengo kupisha uchunguzi chin ya kikos cha zima moto(security group) kilichowasili mapema! Inasemekana hakuna aliyeumia!
 
au tayari waungwana wameshapiga? jaribio lilioshindwa
 
jamaa walionekana wakikimbia na gunia la hela, walipoenda kulifungua wakakuta ni shredded papers
 
Mnatolewa nje watu ndani wanapiga kazi wakimaliza mnaambiwa hakuna tatizo lolte rudini ndani kumbe tayari watu wameishamaliza kazi haoooo taratibuuuu
 
vipi lile deal la note mpya za airport hazijatosha maana wamekwapua nyingi saana wanataka kuongezea na za NBC
 
Taarifa zilizonifikia hivi punde kutoka kwa mshuhudiaji ni kuwa Makao Makuu ya Benki ya NBC yanaungua Moto! Ajali kama hii imekuwa ikijaribu kutokea mara kwa mara bila mafanikio! Je hii ni ajali au ufisadi mwingine?
 
muulize JK anajua anakopeleka nchi yetu mzee wa makafara kaleta laana ndani ya nchi yetu pendwa
 
Taarifa zilizonifikia hivi punde kutoka kwa mshuhudiaji ni kuwa Makao Makuu ya Benki ya NBC yanaungua Moto! Ajali kama hii imekuwa ikijaribu kutokea mara kwa mara bila mafanikio! Je hii ni ajali au ufisadi mwingine?
Sasa kama imekua ikijaribu kutokea mara nyingi were there any preventive measures taken? If not why? MMh!!!
 
Strong room haiwezi ungua. Labda pesa zilizo counter kwa Tellers
 
ni docs zimechomwa kuficha jambo....hii ndo bongo. Wait for the aftermath....
 
Taarifa zilizonifikia hivi punde kutoka kwa mshuhudiaji ni kuwa Makao Makuu ya Benki ya NBC yanaungua Moto! Ajali kama hii imekuwa ikijaribu kutokea mara kwa mara bila mafanikio! Je hii ni ajali au ufisadi mwingine?
Mkuu niko hapa IPS building mkabala na NBC head office hakuna tukio kama hilo muulize vizuri huyo aliyekupa taarifa
 
Back
Top Bottom