Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 10,828
- 34,367
- Thread starter
- #41
💯💯Mtoa mada usijekubali huu uzi wako ulale. Fanya kuleta matokeo ya kila mechi kwa wakati.
CC Nyani Ngabu
💯💯Mtoa mada usijekubali huu uzi wako ulale. Fanya kuleta matokeo ya kila mechi kwa wakati.
CC Nyani Ngabu
Kivipi mkuu?Huyu jamaa huwaga ni mzima kichwani kweli?.
Ja morant aendelee kuwa nje hivyo hivyo!Play offs zinaanza 19 april.
View attachment 3304104
Muda kweli ni tatizo ila pia station zetu pia haziupi nafasi huu mchezo utakuta habari nyingi ni soka tu. Ila kiukweli basketball ni zaidi ya mpira wa miguu kama unapata promotion hasa NBA ya USA yaani nifull mitupo na burudani tuNapenda majina ya hizo timu; Timberwolves, Milwaukee, City Thunders, Hornets, Chicago Bulls, Dallas Mavericks...
Shida ya huu mchezo ni muda ambao unakuwaga live.
Huu uzi unahusu basketball nenda kaanzishe uzi wako uko wadau watakufuata hukoAtakayeanzisha uzi wa American football mnitag😀
Ant ana jeuri sanaPlayoffs match day 1….lakers amekalishwa na toto tundu