bandu bandu
JF-Expert Member
- Sep 7, 2013
- 2,747
- 874
Uko sahihi mkuu. Amewashambulia sana. Pinda anaweza akapita. Wanaokataa hawana hoja za msingi. Wamekaririshwa
Na kweli sikujui wala hujulikani na ulichokipost wala hukijui na pia hakijulikani
Uko sahihi mkuu. Amewashambulia sana. Pinda anaweza akapita. Wanaokataa hawana hoja za msingi. Wamekaririshwa
Haiwajawahi kutokea katika historia ya Tanzania (au hata Tanganyika) mtu aliyekuwa Waziri Mkuu akaja baadae kuwa Rais, isipokuwa Nyerere. Huko nyuma waliokuwa Mawaziri Wakuu walijaribu kuutafuta U-Rais lakini hawakufanikiwa. Historia itajirudia tena mwaka huu! Kwa taarifa yako Mawaziri Wakuu waliopita waliojaribu kuingia katika kinyan'ganyiro cha urais ni Joseph Sinde Warioba, Cleopa Msuya, John Malechela, Salim Ahmed Salim na Fredrick Sumaye. Hii ina maana gani? Ina maana kuwa Si Lowassa au Pinda atakayekuwa Rais wa awamu ya tano.
View attachment 265891
Amiri jeshi mtarajiwa huyu hapa akiwa na Waziri mkuu wa Ethiopia
Hana mvuto kwa watu, hivyo sisiemu hawawezi mpitisha!
Suala ni kanuni inakataza kuwashambulia wagombea wenzako.Sababu hii tayari imeishamuondoa kwenye kinyang'anyiro maana siku ya kwanza tu alimsema sana Wasira na kisha akamsema sana Lowassa, ata kama watamkata Lowassa lakini Makongoro kwa kosa hilo hawezi kuvuka.
Uko sahihi mkuu. Amewashambulia sana. Pinda anaweza akapita. Wanaokataa hawana hoja za msingi. Wamekaririshwa
View attachment 265891
Amiri jeshi mtarajiwa huyu hapa akiwa na Waziri mkuu wa Ethiopia