Naziona dalili za PINDA kuibuka Kidedea

Naziona dalili za PINDA kuibuka Kidedea

pinda hawezi kusimama na siasa zake za kizee,vijana wanataka siasa za hoja na sio mtu kama yuko kanisani
mimi nasema kuringana na upepo wa siasa ulinyo kwa sasa siamini ccm wanaweza kudanganyika kumpitisha mtu aina ya pinda lakini 3 bora ya urais ni hii tu,
1,magufuli
2mwandosya
3,makongoro
basi hawa ndo moto wa siasa za sasa, basi
 
Mkuu sio suala la akili hapa. Kama ni wasomi wengi wapo CCM no question about it, kama ni wenye uzoefu nk ni CCM. Lini suala ni mfumo wake ulivyo mbovu haiwezekaniki hata angechaguliwa mtu articluated kiasi gani akatufaa. This is the problem. Jibu ni kuitupilia mbali waende wake china wavunje mfumo wao warudi tena kutuomba wakiwa na mfumo tutakao uona sasa safi. Mbona haya mambo ni wazi. Hata Brazil/German?Spain etc zikifungwa kwenye kombe la dunia kocha anajiuzuru,timu inasukwa upya, ikirejea ni moto wa kuote mbali. sababu wanapata muda wa kureflect makosa yao.

Sasa wapinzani nani anafaa? Lazima ujiulize. Lakini Mada hii haihusu nani rais, inahusu nani kuibuka kidedea. Hivyo unapochangia hata kama uko chama pinzani unapaswa uangalie mada inasemaje kisha toa maoni. Sio mtu anakuja kusema HAFAI bila kueleza Sababu. Sema kwa kueleza sababu ambazo zinaeleweka na kutambulika na ikibidi unaweka na ushahidi
 
Hivi kweli Tanzania imekosa viongozi hadi tumchague pinda?Amefanyia nini tz?
 
Hana mvuto kwa watu, hivyo sisiemu hawawezi mpitisha!

mwamba wa upinzani kwenye majukwaa kwaka huu ni MAGUFULI,
ushaidi ni bungeni anavyowazibiti wapinzani kwa hoja,ndo kitu ambacho kinawalazimisha ccm kumpa kipao mbele.
 
pinda hawezi kusimama na siasa zake za kizee,vijana wanataka siasa za hoja na sio mtu kama yuko kanisani
mimi nasema kuringana na upepo wa siasa ulinyo kwa sasa siamini ccm wanaweza kudanganyika kumpitisha mtu aina ya pinda lakini 3 bora ya urais ni hii tu,
1,magufuli
2mwandosya
3,makongoro
basi hawa ndo moto wa siasa za sasa, basi

Eti siasa zake za Kizee, basi Simama wewe na Siasa zako za Kitoto tuone. Weka sababu kwanin sio kukurupuka kama umetoka usingizini
 
List yoyote itakayokosa jina la Lowassa ujue hiyo ni ndoto ya alinacha ya mchana kweupe
 
pinda huyu wa wapige tu au pinda wa tumechoka?

kweli pinda anaweza kupambana kwa namna siasa zilivyo leo?
mimi nafikili ccm wana kazi moja tu ya kuakikisha mtu anayepitiswa hili watu wamuone ni wa maana kwa vigezo vifuatavyo

MAGUFULI kwanini?
1,mkali
2,mchapa kazi
3 mtu aliyewatumikia watanzania wote kila kona ili iwe lahisi ccm kumuuza kwa wananchi
4 mtu anayefaamika sana kwa watu
hicho ndo kinampa sifa magufuli kupita wate maana hakuna mwenye vigezo vyote kwa wengine.
 
Makongoro hawezi kuwepo 5 bora.Amevunja kanuni kwa kuwashambulia wenzake jambo ambalo ni kosa.

Kwa hiyo kiongozi shupavu ni yule anayekuwa bubu kuficha madhambi? hivi tunatafuta kiongozi au boya la chama la kufukia uovu?
 
kweli pinda anaweza kupambana kwa namna siasa zilivyo leo?
mimi nafikili ccm wana kazi moja tu ya kuakikisha mtu anayepitiswa hili watu wamuone ni wa maana kwa vigezo vifuatavyo

MAGUFULI kwanini?
1,mkali
2,mchapa kazi
3 mtu aliyewatumikia watanzania wote kila kona ili iwe lahisi ccm kumuuza kwa wananchi
4 mtu anayefaamika sana kwa watu
hicho ndo kinampa sifa magufuli kupita wate maana hakuna mwenye vigezo vyote kwa wengine.

Sawa kabisa lakini Magufuli anatekeleza chini ya Usimamizi wa Kiranja wake ambaye ni Pinda.
 
Nimezinyaka mahali hizo info, nimesikitika sana
 
Yani akili yako iko Limited. Kwa hiyo unataka kusema Watanzania wote waliopo CCM hawana akili yani ni Mburula kama wewe? Bado siamini hili. Af kama nakufahamu hivi. Ushawahi kutibiwa Hospitali ya Dodoma pale ile maalumu?

Ndo Mimi wala huja kosea mkuu.
 
nilidhani unaeleza upepo ulivyo, kumbe umesema alichofanya??
wakimpitisha PINDA, watashindwa asubuhi mapema
 
HUNIJUI

pinda alisha tangaza siku nyingi ndio maana zikafunguliwa za kukusanya pesa. mkusanya pesa ni meya na mke wake
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom