Kweli nimeamini hii nchi ni ya vilaza watupu; hizo kanuni zinamuondoleaje mwananchi umaskini wake?
pinda hawezi kusimama na siasa zake za kizee,vijana wanataka siasa za hoja na sio mtu kama yuko kanisani
mimi nasema kuringana na upepo wa siasa ulinyo kwa sasa siamini ccm wanaweza kudanganyika kumpitisha mtu aina ya pinda lakini 3 bora ya urais ni hii tu,
1,magufuli
2mwandosya
3,makongoro
basi hawa ndo moto wa siasa za sasa, basi
Haiwajawahi kutokea katika historia ya Tanzania (au hata Tanganyika) mtu aliyekuwa Waziri Mkuu akaja baadae kuwa Rais, isipokuwa Nyerere. Huko nyuma waliokuwa Mawaziri Wakuu walijaribu kuutafuta U-Rais lakini hawakufanikiwa. Historia itajirudia tena mwaka huu! Kwa taarifa yako Mawaziri Wakuu waliopita waliojaribu kuingia katika kinyan'ganyiro cha urais ni Joseph Sinde Warioba, Cleopa Msuya, John Malechela, Salim Ahmed Salim na Fredrick Sumaye. Hii ina maana gani? Ina maana kuwa Si Lowassa au Pinda atakayekuwa Rais wa awamu ya tano.
Mchumia tumbo yoyote lazima awaone wengine wote ni vilaza[ mimi nilikuwa tu siamini hilo na bado muda kidogo utabakia mdomo wazi tutakutana humu humu usikilizie vizuri muziki wangu kwa sasa natuliza boliHapo kilaza utakuwa wewe,kuna sehemu isiyo na kanuni au taratibu?
Atatupiga tu huyo hafai hata ubalozi wa nyumba kumi."Wapigwe tuu hakuna namna nyingne"huikumbuki hii kauli na baada ya kutamka hayo unaweza niambia nin kilitokea?kuweni wazalendo tuibadilishe hii nchi sio ushabik afu still bado tuna lalamika.yani kupata kiongozi bola ndani ya ccm nisawa nakutafta mwanamke bikra ndani ya wodi ya wazazi.