Naziona dalili za PINDA kuibuka Kidedea

Naziona dalili za PINDA kuibuka Kidedea

sasa wapinzani nani anafaa? Lazima ujiulize. Lakini mada hii haihusu nani rais, inahusu nani kuibuka kidedea. Hivyo unapochangia hata kama uko chama pinzani unapaswa uangalie mada inasemaje kisha toa maoni. Sio mtu anakuja kusema hafai bila kueleza sababu. Sema kwa kueleza sababu ambazo zinaeleweka na kutambulika na ikibidi unaweka na ushahidi
.

Hakuna anaye faa simple and clear. Wewe ndio huju soma between the lines
 
CCM hawaonekani wengi system itawaua!!! makengeza hawana jipya nchi hii.
 
Yani akili yako iko Limited. Kwa hiyo unataka kusema Watanzania wote waliopo CCM hawana akili yani ni Mburula kama wewe? Bado siamini hili. Af kama nakufahamu hivi. Ushawahi kutibiwa Hospitali ya Dodoma pale ile maalumu?

Mbona unakimbilia hawana akili?sema inamaana ccm ote ni mafisadi?afu ndo nikujibu neno hawana akili umesema mwenyewe.Fanya kaz kjana tubadilishe taifa sio Kusaka tonge.
 
Pinda akiwa rais mtasema afadhali ya Kikwete.
 
nilidhani unaeleza upepo ulivyo, kumbe umesema alichofanya??
wakimpitisha PINDA, watashindwa asubuhi mapema

WanaCCM wengi wana Imani naye kuliko wewe ambaye hujui kinachoendelea kwenye chama chao. Sasa ukisema watashindwa utadhani ushindi ni wa mezani sio kupiga kura nakushangaa. Huwezi kupima kina cha maji kwa macho.
 
Kauli maarufu za Pinda zinazoakisi msimamo wake.

Alisema liwalo na liwe kwenye sakata la mgomo wa mafaktari kesho yake kiongozi wa chama cha madaktari dk Ulimboka akaokotwa msitu wa Pande yuko hoi bin taaban kang'olewa kucha na meno.

Kwenye sakata la EPA akasema majizi yaliyokwapua hela ya EPA ukiyakamata serikali itayumba,yeye na bosi wake wakayabembeleza yarudishe badala ya kuyapeleka jela. Mwizi analindwa na serikali yake akipewa nchi itakuwaje.

Wapigwe tu maana hati na jinsi nyingine,ni kauli maarufu alizowahi kutoa zinazovunja haki za binadamu,kwa hizi zinamuondolea sifa ya kuwa kiongozi wa nchi.
 
Naona mleta mada umeshindwa kujenga hoja zaidi umebaki kwenye hisia na mapenzi kwa Pinda lakini unakosa mambo haya:

1/Sikweli hata kidogo kuwa Pinda amekuwa akifanya mambo yake kimya kimya sana au ndio mbinu yake. Ukweli ni kwamba Pinda alipenda sana awe na swaga na nyomi kama ya Lowassa lakini kwa sababu ya Poor Popularity, Woga, Late Preparation nk ndio mambo yako hivyo.

2/Ni kweli kuwa Pinda atakuwa miongoni mwa wagombea watano watakaopitishwa na kamati kuu(Kwa sababu ni waziri mkuu kwa sasa), lakini huko mbele ndio itakuwa changamoto, hasa kama mgombea yoyote mwenye umaarufu kama Lowassa, Membe, Wassira, Sitta, Mwandosya atapitishwa naye.
 
Pinda muoga sana halafu jambo dogo tu hachelewi kutoa chozi.

Hatutaki rais anayedeka.
 
Kwa hiyo kiongozi shupavu ni yule anayekuwa bubu kuficha madhambi? hivi tunatafuta kiongozi au boya la chama la kufukia uovu?

Suala ni kanuni inakataza kuwashambulia wagombea wenzako.Sababu hii tayari imeishamuondoa kwenye kinyang'anyiro maana siku ya kwanza tu alimsema sana Wasira na kisha akamsema sana Lowassa, ata kama watamkata Lowassa lakini Makongoro kwa kosa hilo hawezi kuvuka.
 
Naona mleta mada umeshindwa kujenga hoja zaidi umebaki kwenye hisia na mapenzi kwa Pinda lakini unakosa mambo haya:

1/Sikweli hata kidogo kuwa Pinda amekuwa akifanya mambo yake kimya kimya sana au ndio mbinu yake. Ukweli ni kwamba Pinda alipenda sana awe na swaga na nyomi kama ya Lowassa lakini kwa sababu ya Poor Popularity, Woga, Late Preparation nk ndio mambo yako hivyo.

2/Ni kweli kuwa Pinda atakuwa miongoni mwa wagombea watano watakaopitishwa na kamati kuu(Kwa sababu ni waziri mkuu kwa sasa), lakini huko mbele ndio itakuwa changamoto, hasa kama mgombea yoyote mwenye umaarufu kama Lowassa, Membe, Wassira, Sitta, Mwandosya atapitishwa naye.

Utangulizi wako hauna mashiko sana kwani mimi nmehitaji tu watu waje kwa Hoja na sio porojo, ila wewe umejitahidi.

Namba 1 si kweli kwani watu wengi tu hawajajaza nyomi kama yeye na pia alikuwa hafiki na kufanya mikutano ila alikuwa akifika mikoani anakutana na wana CCM wanaojitokeza kumdhamini na kuendelea na safari kwa mujibu wa kile nilichokishuhudia huku kwetu.

Namba 2. Changamoto ipo ndio maana nikasema naziona dalili. Sijasema ataibuka kidedea. Haujui kilichomo mioyoni mwa wajumbe wa Chama chao na hata mimi sijui. ila nmeongea kwa kuangalia uelekeo wa Upepo
 
Pinda akiwa rais mtasema afadhali ya Kikwete.

Wala sio Pinda tu,yeyote akiwa Rais tutasema afadhari JK na historia inaprove hilo.

1.Alivyokuwepo Mwinyi watu walisema afadhari Nyerere

2. Alivyokuwepo Mkapa wakasema sasa ni ukapa mtupu afadhari Mwinyi

3. Alivyokuja JK wakasema huyu hamna kitu kabisa afadhari Mkapa

4. Hii trend itaendelea..afadhari JK kuliko X
 
Wala sio Pinda tu,yeyote akiwa Rais tutasema afadhari JK na historia inaprove hilo.

1.Alivyokuwepo Mwinyi watu walisema afadhari Nyerere

2. Alivyokuwepo Mkapa wakasema sasa ni ukapa mtupu afadhari Mwinyi

3. Alivyokuja JK wakasema huyu hamna kitu kabisa afadhari Mkapa

4. Hii trend itaendelea..afadhari JK kuliko X

Hahaha, umeua. Left unchecked, closed system tend from order to disorder as the arrow of time progresses. Entropy increases naturally. Second law of thermodynamics.
 
Mama yake anahusikaje hapa? Nitapendekeza kwa MODS wawaanzishie jukwaa lenu peke yenu ninyi mliotoka Milembe!

Nani ambaye hajavunja kanuni? Ni mama yako pekee ndiye hajavunja kanuni.
 
HUNIJUI

Hivi wewe ni muongo au kuna nini kimekusukuma kusema hayo - kati ya Pinda na Magufuli yupi aliyeenda kimya kimya au Jaji Ramadhani, au yule Mkulima wa Kigoma???
 
Last edited by a moderator:
I.Jaji Agustino Ramadhani
2. Asha rose Migiro
3. Ghalib Bilali
4. Mizengo Kayanza Pinda
5.Makongoro Nyerere
Naona dalili za Pinda kushindwa kuanzia ngazi hii

Kwanza kabla ya yote nakutaka uondoe jina la Asha rose Migiro hapo kwenye orodha yako! Kama unapenda sura yake nenda kanywe naye chai kisha upige nae picha ukaweke ukumbusho nyumbani kwako! Hao wanawake kupitia Makinda wametuonesha kuwa hawawezi shenzi zao!
 
Back
Top Bottom