Naziona dalili za kumpa talaka mke wangu mpendwa

Naziona dalili za kumpa talaka mke wangu mpendwa

mimi nafikiri ningepewa ushauri wa namna ya kutatua tatizo hili badala ya kunilaumu kwani hata malenga wanasema:

"Mwenye
kupenda ni jura, wala
hana maarifa."

leo kuna kazi humu dah!...mpaka raha!
 
sasa umeshamla unataka tena ushauri wa nini? wewe endelea tu kula jicho kumpa raha mwenzio ungekuwa na hekima na busara kama ile siku ya kwanza ungekataa kuonyesha msimamo wako..... unaonekana umechoka ndoa yako na wala si kwa kuwa anataka kuliwa tigo
 
sasa mkuu quotes zako umeshindwa kuzitumia kwa mkeo!..... naye angepata somo!

ndugu yangu wewe kwani umesahau malenga wanasema:

"Asiyejua maana, Haambiwi maana".
 
sasa umeshamla unataka tena ushauri wa nini? wewe endelea tu kula jicho kumpa raha mwenzio ungekuwa na hekima na busara kama ile siku ya kwanza ungekataa kuonyesha msimamo wako..... unaonekana umechoka ndoa yako na wala si kwa kuwa anataka kuliwa tigo

dada yangu mpendwa unajua ukiwa katika kilele cha utamu adimu wa ngoma ni ngumu sana kufikiri kuwa inabidi urudi nyumbani mapema. Hakika malenga ni watu wa ajabu wanaposema:

" Pato la mahaba,
ni haba ni haba".
 
dada yangu mpendwa unajua ukiwa katika kilele cha utamu adimu wa ngoma ni ngumu sana kufikiri kuwa inabidi urudi nyumbani mapema. Hakika malenga ni watu wa ajabu wanaposema:

" Pato la mahaba,
ni haba ni haba".
endelea kuwa mgumu kufikiri na endelea kula jicho tu..... ulivyokula jicho ilikuwa bikra au used?
 
Kwanza kuoa mke unaemzidi umri mkubwa hivyo ni tatizo

Lakini wewe umejibainisha hapa kuwa ni mtu mzima,unashindwaje kujua suluhu la hili tatizo?

Wewe kama unapenda kulamba "gogo" endelea kulamba
Kama hutaki si umuache?
 
endelea kuwa mgumu kufikiri na endelea kula jicho tu..... ulivyokula jicho ilikuwa bikra au used?

loooh!...dada yangu nategemea ushauri muruwa kutoka kwako na sio kunikata maini kwani hata malenga wanasema:

" Moyo wa
mwenzako ni tunda la
chupa"
 
Kwanza kuoa mke unaemzidi umri mkubwa hivyo ni tatizo

Lakini wewe umejibainisha hapa kuwa ni mtu mzima,unashindwaje kujua suluhu la hili tatizo?

Wewe kama unapenda kulamba "gogo" endelea kulamba
Kama hutaki si umuache?

sawa mkuu kwa rai yako maridhawa"
 
Heheheee..... Mmekutana pipa na Mfuniko.!!
 
nilifanya nae siku moja mkuu na nikamuonya kuwa hatutafanya tena. Ila si unajua malenga wanasema:

"Mahaba ni tamu,
mahaba ni sumu."

hapo ndipo ulipo kosea. Umesema ni mtu mzma lakin umefanya mambo ya kidot com na ya kijinga.......... Ulistahili umkatalie kabisa na kwa ukali na msisitizo kabisa. Sasa unakuja kulalama wakat umeshambong'oa mtoto wa watu!! Ni halali kabisa anavyokukatalia mbele anajua na wewe filauni ila unajua unamkatalia makusudi......... Endelea kujiunga kabang mzee s. Na domora inakusubili
 
wakweli ilibidi nifanye ili kumridhisha na kumuonya kwamba iwe ni siku ile pekee. Kuanzia hapo mke wangu kaweka msimamo kuwa hanipi haki yangu mpaka nimpe "kiu yake"

nafikiria kumpa taraka mke wangu ukizingatia bado hatujazaa.

you are not serious umeshalamba kabaang unakuja kututia kichefuchefu hapa?endelea kula
 
Miss wangu upo?

nipo kipenzi changu... chukua zawadi hii weka kwenye desktop backround i still remember u.. 8204551_f520.jpg
 
"Mwenye kuja na
baridi usimpe moto".

peleka maquotes yako huko umeshindwa kumpa mkeo wakati unakula tigo ukaingiza mdudu tu huko uani... alafu hapa unakuja kuleta maneno ya watu uliyoshindwa yatumia kwa mkeo.... wewe sasa endelea kula tigo mpaka ukapigwe bomba la kidudu ...
 
Back
Top Bottom