Nazi zinazovunjwa njia panda/makutano ya barabara

Seneta Wa Mtwiz

JF-Expert Member
Sep 23, 2013
3,601
4,087

WAKUU,

Huku kitaa, pande za pwani, ukiamka asubuhi unakuta katikati ya njia panda/makutano ya barabara zimevunjwa nazi balaa-

Sasa siku hizi kila asubuhi huwa natembelea njia panda kadhaa na BESENI LANGU,
NAZOA VIPANDE VYA NAZI NATAFUNA,

NA ZINGINE NAPELEKA NYUMBANI KUUNGIA KANDE NA MCHUDHI!
Shendhi!!!

Au kuna Tatizo Wakuu?
 
Nilishawahi kula sana enzi za utoto wangu hizo nazi na sijawahi kupata madhara yoyote yale.

Watu wanaibiwa sana kwa hawa wachawi.
MKUU,

Yaani huwa natamani hao waganga wawaagize kwenda kumwaga mchele njia panda.

Kama ni barabara ya ya lami nazoa naenda kupika wali nyumbani !!!
 
MKUU,

Yaani huwa natamani hao waganga wawaagize kwenda kumwaga mchele njia panda.

Kama ni barabara ya ya lami nazoa naenda kupika wali nyumbani !!!
:D:D:D

Tatizo wakiagiza mchele wanakula wao , Hata kuku wanachinjia kwenye vilinge vyao then wanakula supu wenyewe hauwezi kuona kuku ametupwa njia panda baada ya kuhinjwa.
 
Na mikate ya kumimina kwenye chano maeneo ya miti mikubwa sku hizi hawaweki mikate ni mikaa mtama nazi mayai
 
1563607478878.png
 
Ilikuwa kawaida kukuta chungu ,mtu kaogea njiapanda then sarafu pembeni tena mitaa ya viwanda ambayo 24hrs watu wanaingia na kutoka kwenye shift zao.

Sijajua waliweza kuoga hapo
 

WAKUU,

HUKU KITAA, PANDE ZA PWANI, UKIAMKA ASUBUHI UNAKUTA KATIKATI YA NJIA PANDA/MAKUTANO YA BARABARA ZIMEVUNJWA NAZI BALAA-

SASA SIKU HIZI KILA ASUBUHI HUWA NATEMBELEA NJIA PANDA KADHAA NA BESENI LANGU,
NAZOA VIPANDE VYA NAZI NATAFUNA,

NA ZINGINE NAPELEKA NYUMBANI KUUNGIA KANDE NA MCHUDHI!
Shendhi!!!

Au kuna Tatizo Wakuu?
Hakuna tatizo ila jua kuwa hivyo ulivyo inawezekana imesababishwa na kula hizo nazi...
 
Ninakumbuka tulipokuwa wadogo tukikatazwa kula hivyo vitu. Unaweza kukuta chano kina visheti, vitumbua chai ya maziwa, pilau na ndizi mbivu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom