Nazi tunayo wadada/wanawake

Nazi tunayo wadada/wanawake

Mkuu usiwe na shaka,ni moto tu ule ule hawezi badilisha
Sawa moto ni ule ule lakini utakuwa Advanced.
Kumbuka Mungu hashindwi na chochote. Anaweza kuuchochea hata mara kadhaa zaidi ya mwanzo.

Gesi yake si ya kitoto.
 
Kkuna wanawake hawana watu wa kuwaita au kuwasemesha so mnawaacha mnahamia kwa midoli kweli kiyama kipo karibu

Kama wamjua japo mmoja, nitumie namba yake nipate kumsemesha
 
Nimejifurahia sijashtuka.. kwa kuwa nakiona kama kitu ambacho najiamini asilimia 100 hakiwezi kunichukulia nafasi yangu.. kamwe.
Wanaume unawajua au unawasikia? Ni viumbe wasiotabirika, wanapenda kujaribu Kila kitu
 
Ngoja tumuliki midoli tutaheshimian to maana asaivi mnatusema sana mara kibamia mara hatuwafikishi asa ukiwa na mdoli wako unajipimia to aya masimango yote yataisha
 
Katitesa na kututisha sana shetani sasa ni zamu yake kushika mdomo wazi na kumuomba mungu amnusuru na wanadamu kama ss tulivyo kua tunamuomba mungu atunusuru na shetani
Duh
 
Kilichonivutia mimi,.,,Paleee,,hakuna kubembeleza hakuna ati ohh leo nipo katka siku
Mara oohh leo hakuja mfanyakazi nimechoka ntaka nilale.Tena wanawake wanaongea hayo huku wanageuka ubavu wa pili na kukupa mgongo
Bora huyu mdoli nimetoka zangu kupata moja moto moja baridi ***** namgeuza navotaka
 
Hamna lolote....

Mwanamke unayehofia mdoli utakuwa ulishajikana kama binadamu...

Kiasi kwamba hata mdoli unachukua nafasi yako.

HAMNA KITU HAPO..

UCHAFU MTUPUUU.....
Akili za wanaume mnazijua wenyewe.
Sabuni ya 200 na porn tayar mlishawageuza wake
 
Back
Top Bottom