Punyeto mubasharaPunyeto iliyo boreshwa zaidi.
Shetani kaamua kutumia majini kwa kivuli cha midoli.Wakuu heshima kwenu, tunakumbushana tu wadada/wanawake tu play part zetu Kwa waume zetu 99.9% ili wasijehamia Kwa Samantha maana keshaingia bongo na waume zetu washaanza kumnunua, naskia anajoto balaa
Innalillah wainna illahi rajiun, bora akachepuke kuliko kumchukua Samantha
Wacha Maneno ,ngoja mziki uje, jiandae kushindana na Samantha.Sijui kwanini haijanshtua. All in all bado nafasi ya binadamu itabaki as binadamu na mdoli as mdoli.. Kajifurahisheni nafsi zenu wanaume,sitongozi mtu abadani.
Jiandaeni aisee, tena kama ni Mimi nakuambia nipe muda nikufikilie, maana mko wengi mno na midoli juu tumeongezewa.
Utakapo jua kua akizeeki na wewe una zeeka ndo utajua kitakuchukuliaje nafasiNimejifurahia sijashtuka.. kwa kuwa nakiona kama kitu ambacho najiamini asilimia 100 hakiwezi kunichukulia nafasi yangu.. kamwe.
Rebecca Jipangeni, kunitongoza unitongoze, kunilisha, kuninywesha, Mzigo utanipa na Nauli juu !! Dadadeki.hahhahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa mkuu umenichekesha sana,eti ngoja nipe muda nikufikirie haahahahahhaa inaelekea midoli ikiwa mingi utaringa sana wewe
Katitesa na kututisha sana shetani sasa ni zamu yake kushika mdomo wazi na kumuomba mungu amnusuru na wanadamu kama ss tulivyo kua tunamuomba mungu atunusuru na shetanishetani kashika kichwa mdomo wazii anatoa macho....
aseeeeKatitesa na kututisha sana shetani sasa ni zamu yake kushika mdomo wazi na kumuomba mungu amnusuru na wanadamu kama ss tulivyo kua tunamuomba mungu atunusuru na shetani
ikisimama nishtue tushuke wote ledadaNaimajini mwanaume akinjunja huyo mdoli pyeeeeee
Dunia simama nishuke
WhateverMdoli utabaki kuwa mdoli mijanaume mibahili na madomo zege ndio itakayokuwa busy na midoli
na sinadhani kama ataipata binadamu ss basi tu ni vile Mungu ni mwingi wa rehema.Nasikia anakesha akiitafuta hii dhambi katika vitabu vyake bado hajaipata...
Wasio na watu wakuwaita waje kwangu niwasemeshe sihangaiki na samantha asiye na ubongo.Kkuna wanawake hawana watu wa kuwaita au kuwasemesha so mnawaacha mnahamia kwa midoli kweli kiyama kipo karibu