Nokia83
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 24,646
- 44,228
Alafu wewe hayaaa kwanza hilo bao linakuwaje
Unajifanya hulijui nw?!
Linakuwa la njano halafu linaweza kujaza kikombe cha kahawa bila tatizo
Alafu wewe hayaaa kwanza hilo bao linakuwaje
Aki we unataka unichune akat najenga kwetu utakeshaMdoli utabaki kuwa mdoli mijanaume mibahili na madomo zege ndio itakayokuwa busy na midoli
Show peke akeDuh!! Kweli habari njemaa kwetu!!
Maana sometimes ke wanazingua.
Lakn vipi jaman linachajiwa au?
Kupika je au show peke yake?
usiku mwemaUnajifanya hulijui nw?!
Linakuwa la njano halafu linaweza kujaza kikombe cha kahawa bila tatizo
Sawa mkuu pambana na mdoliAki we unataka unichune akat najenga kwetu utakesha
usiku mwema
Duh!! Kazi ipoShow peke ake
Wewe kuwa mpole tu muda utakuambia ukileta ujeuli
Mkuu usiwe na shaka,ni moto tu ule ule hawezi badilishaWanadamu wamevuka hadi enzi za Sodoma na Gomola!!!
Yaani sasa hadi kwenye midoli???
Mmhhh!! Sipati picha ya PIGO linaloandaliwa kwa wanadamu.
Ee Mungu, njoo uuchukue ulimwengu wako kabla hatujauchafua.
Ni Zamu yenu sasa kututongoza ,kila zama na wakati wake.wale wazito kutongoza, kuoa hawataoa kisa hio midoli,si habari nzuri hizi,lol
Nasikia anakesha akiitafuta hii dhambi katika vitabu vyake bado hajaipata...shetani kashika kichwa mdomo wazii anatoa macho....
Nope wengine wanafanya leisure mkuuHatari ila suala la mahusiano pia ni kuanzisha familia hapo inakua mtihani.