Maserati
JF-Expert Member
- Jun 15, 2014
- 11,602
- 20,098
Na mwenye huruma. Lakini tunairudisha sodoma na gomora..na sinadhani kama ataipatabinadamu ss basi tu ni vile Mungu ni mwingi wa rehema.
Na mwenye huruma. Lakini tunairudisha sodoma na gomora..na sinadhani kama ataipatabinadamu ss basi tu ni vile Mungu ni mwingi wa rehema.
Sawa mkuu itasaidia maana siku hizi hizi topic zimekua nyingi.Mkuu nikitulia ntaketa thread why kubamia exist
Mashimo barabaraniHivi mkuu zamani vibamia havikuwepo au siku hizi mashimo yamezidi barabarani.?
Wanaume unawajua au unawasikia? Ni viumbe wasiotabirika, wanapenda kujaribu Kila kitu
Jiandae wewe. Najiandaaje mie kwa mfano??Wacha Maneno ,ngoja mziki uje, jiandae kushindana na Samantha.
Maneno ya kujifarijiSijui kwanini haijanshtua. All in all bado nafasi ya binadamu itabaki as binadamu na mdoli as mdoli.. Kajifurahisheni nafsi zenu wanaume,sitongozi mtu abadani.
Sasa huo mdoli si unakuwa unauchafua halaf unauosha mwnyw mwanaume?!
Mfano nmepiga lile bao la jela si balaa tupu hapo
Hahah exactly,hv vitu vinahusiana nadhani.Mashimo barabarani
Kama vile hakuna fanani bila hadhira bas hakuna kibamia bila bwawa,period