Nazi tunayo wadada/wanawake

Wakuu heshima kwenu, tunakumbushana tu wadada/wanawake tu play part zetu Kwa waume zetu 99.9% ili wasijehamia Kwa Samantha maana keshaingia bongo na waume zetu washaanza kumnunua, naskia anajoto balaa

Innalillah wainna illahi rajiun, bora akachepuke kuliko kumchukua Samantha
e38898959eed29f44aa925cafecc8fff.jpg
9eb99477b117b1aa665ffff8f458941f.jpg
Yaani wanawake wenyewe mko wengi habari mmeletewa mshindani mwingine,kazi mnayo!
 
Safi sana hii kitu maana itapunguza ushindani tena kama mm nikilipata nakua nazunguka nalo to kwenye gari na likiwa la upepo ndo safi zaid
Wazo safi sana umewaza likiwa la upepo unalijaza unavyotaka chura iwe unajaza chuchu utakavyo na chura utakavyo na kama vipi unalitoa upepo unalikunja kwenye begi verygood
 
Hivi mkuu zamani vibamia havikuwepo au siku hizi mashimo yamezidi barabarani.?
Huu uzinifu uliyoeneo leo kapitiwa na uume wa kawaida kesho kapitiwa na Mwanaume mashine,halafu hapo hapo wanahadithiana mambo ya chumbani ndipo story za vibamia huanza.
 
Back
Top Bottom