Mamserenger
JF-Expert Member
- Oct 14, 2019
- 1,157
- 2,078
Wazee wa jamvi huyu msanii wetu pendwa hapa bongo katoa nyimbo ambayo ukiisikiliza hovyo unaweza hisi anatukana
Yaani kawapiga chenga BASATA wakijua kabisa anatukana ila pakumshikia sidhani kama wataweza...?
Ila huyu broo bado nahisi akili zake zinaumana na Misumari ya BASATA
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Yaani kawapiga chenga BASATA wakijua kabisa anatukana ila pakumshikia sidhani kama wataweza...?
Ila huyu broo bado nahisi akili zake zinaumana na Misumari ya BASATA
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app