koo
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 258
- 67
JF heshima mbele naomba msaada jinsi ya kuweka screenshot kama sijakosea jina yaani kuhamisha muonekano wa web page ninayo browse nikaweza kuiweka kwenye ujumbe kama hapa ninapoandika mtu akaweza kuona kile nilichokua naona. Yaani kama hii page ya jf nawezaje kuiweka ikaonekana pamoja na ujumbe huu nawasilisha.