Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 55,030
- 59,682
Mungu kakuletea mwanamke mzuri ila unamkimbia?
KwanZa rudi shule kwa sababu heka heka zako bado ni za kitoto.
Ulivyogoma kwenda shule nilijua utakuja na Mishe moja kubw sana but kumbe unaenda kwa wahindi viwandani?
Huyo mwanamke muoe na rudi shule. Tengeneza familia na huyo mwanamke.
Waalimu ndio wife materials waliobakia wengine wote wapo marathon sokoni
KwanZa rudi shule kwa sababu heka heka zako bado ni za kitoto.
Ulivyogoma kwenda shule nilijua utakuja na Mishe moja kubw sana but kumbe unaenda kwa wahindi viwandani?
Huyo mwanamke muoe na rudi shule. Tengeneza familia na huyo mwanamke.
Waalimu ndio wife materials waliobakia wengine wote wapo marathon sokoni