Nawezaje kutoka kwa mwanadada huyu

Nawezaje kutoka kwa mwanadada huyu

Umezunguka sana bwana,Melezo mengiii mwishoni ndio kuna mambo ya ushauri.
 
Aisee, ushauri wangu fanya namna tu utafute age yako mkuu 28 kwa 23 siyo powa

Kitu kingine ni heri umwambie ukweli, kuwa wewe kumuoa ni ngumu usimpotezee muda maana anakaribia dk za jioni asije kukulaumu mbeleni

Nje ya mada, Ila na Sisi wanawake muda mwingine tumezidi sana asee🤔, unatembeaje na mtu umemzidi miaka? Anyway ngoja nipite mie
Hapa jamaa katongozwa akaingia box kama pisi kilaini, Msela ndio anatamaa, Ila Manzi anachokifanya anakijua kabisa.

Kati ya ujinga siwezi fanya maisha yangu, Ni manzi hatuendani anisukie mtego nilale nae. No

Labda iwe mimi ndio nimeanza kumtamani kwa sababu fulani
 
Hapa jamaa katongozwa akaingia box kama pisi kilaini, Msela ndio anatamaa, Ila Manzi anachokifanya anakijua kabisa.

Kati ya ujinga siwezi fanya maisha yangu, Ni manzi hatuendani anisukie mtego nilale nae. No

Labda iwe mimi ndio nimeanza kumtamani kwa sababu fulani
Hata mimi nafikiri hivyo bro umesema vizuri sana
 
Hata mimi nafikiri hivyo bro umesema vizuri sana
Code nakupa kwa siku nyingine, Mishangazi mingi inazaa na Maboy wadogo.

Mwanamke kama huyo mimi nisinge kurupuka,
Pendo wangu mimi nilikua namdanganya nipo kwenye mfungo wa Maombi week moja,
Kumbe nasubiri siku zake za hatari zipite. 😂😂😂😁😁
Wanasaka mimba hao tena akikuona wewe mwanaume ni Kapole.
 
Back
Top Bottom