Chica Gee
JF-Expert Member
- Jul 13, 2021
- 2,130
- 6,046
SawaAhsante
SawaAhsante
Upite uende wapi, anipe namba za huyo mwalimu nimuunganishe na TOD AtotoAisee, ushauri wangu fanya namna tu utafute age yako mkuu 28 kwa 23 siyo powa
Kitu kingine ni heri umwambie ukweli, kuwa wewe kumuoa ni ngumu usimpotezee muda maana anakaribia dk za jioni asije kukulaumu mbeleni
Nje ya mada, Ila na Sisi wanawake muda mwingine tumezidi sana asee🤔, unatembeaje na mtu umemzidi miaka? Anyway ngoja nipite mie
Labda kama unasoma kama wale watoto wa primary 😎Hili ndio bandiko refu kuwahi kutokea jf, nimelisoma tangu natoka Kigamboni mpaka nimefika Kibaha halijaisha.
Mkuu umesoma bandiko kweli? 🤔Oa mwenyewe unataka nani aje amuoe single mama wako
Baki njia kuu😂😂😂 hata sielewi niende wapi
Mbona barabara imefika mwisho 😎Baki njia kuu
Kuna hii post alafu kuna nyimbo ya bahati bukuku, dunia haina huruma ni ndefu sana.Labda kama unasoma kama wale watoto wa primary 😎
Mwisho mwenyewe ni mimiMbona barabara imefika mwisho 😎
Sawa, mpe ushauri basi 🙌🤣😂Kuna hii post alafu kuna nyimbo ya bahati bukuku, dunia haina huruma ni ndefu sana.
Kazingua ashamfanya mwl atoe mimba na yupo dakika za jioniiii. Huyo mwl nae lofa tu asingetoa hiyo mimba kama bado anamhitaji dogo.Sawa, mpe ushauri basi 🙌🤣😂
Hatari sana 😂😂🤔Kazingua ashamfanya mwl atoe mimba na yupo dakika za jioniiii. Huyo mwl nae lofa tu asingetoa hiyo mimba kama bado anamhitaji dogo.
Angetuongezea tu singo maza kuliko kutuongezea mama wa marehemu.Hatari sana 😂😂🤔
Yaan ukisoma hili Bandiko huelewi ushauri kipi uache kipi? 🙌 mambo ni mengi sanaAngetuongezea tu singo maza kuliko kutuongezea mama wa marehemu.
Kijana kagusa kila nyanja, kiuchumi, kimahusiano, burudani na michezo mpaka matangazo ya kifo 😂Yaan ukisoma hili Bandiko huelewi ushauri kipi uache kipi? 🙌 mambo ni mengi sana
Yeah kijana mdogo tu nyundo 23 amejua kupangilia story na mwandiko mzuri, ila kuna watu humu wakiandika visa vyao unaweza ishia kusoma heading tu na ukaja kusoma comments pekee sababu ya mpangilio mbovu na kuchanganya herufi...Umepata mwanamke wa maana unaacha kuoa, unakuja kuomba ushauri!
Yote kwa yote hongera kwa matumizi sahihi ya lugha. Sijaona tatizo la kitaifa la kuchanganya L na R
Kwa kweli yupo vizuri sana 😂Kijana kagusa kila nyanja, kiuchumi, kimahusiano, burudani na michezo mpaka matangazo ya kifo 😂