Nawezaje kupata simu ilioibiwa?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]watu washaliaa...!! Kweli bongo nyosoo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niliwaambia hana maajabu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na ajui chochote kuhusu simu ni mtu wa story nyingi sana.
 
Mimi nimeibiwa simu mwezi uliopita,
Nina namba ya simu ya mwizi (namba ya mwisho kuwekwa kwenye hiyo simu).

Pia Last location yake ipo, ila hadi sasa ni either jamaa kaizima, kaiflash au kaibadilisha IMEI, maana kila nikijaribu kuitrack kwa 'Samsung au Google Find My Phone' inaonyesha tu last location ya siku mbili baada ya simu hiyo kuibiwa.

Je kupitia hii namba yake(ambayo sasa haipatikani) na hiyo last location naweza nikampata huyu mtu.

Pia IMEI ya simu ninayo ila sijui kama itawezekana kama simu imezimwa au kubadilishwa IMEI

Mawazo yenu wakuu,
Kuna askari mmoja wa polisi aliniambia kama namba ya simu ya jamaa ipo anaweza akampata ila huyu polisi simuamini maana anataka malipo kabla

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niliwahi sikia wengine wakiiba wala hawana muda kuiwasha, simu inafunguliwa wanaanza kuuza kifaa kimoja kimoja habari kwisha.
 
Mimi nilienda polisi nikapeleka imei namba kila kitu ila polisi ni wavivu kishenzi kufuatilia kesi wanakupija kalenda tu..wanawaza kuhongwa ..sanasana kuipata ni connection
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…