Wakuu vibaka wameniibia simu yangu Samsung Galaxy Tab A 7. android 5.x.x
nimejaribu kuitrack lakini naona itakua imefanyiwa factory reset, android version yake haina ile lock ambayo hata uki rest haitoki
naombeni ushauri kuna namna naweza fanya kabla ya kwenda polisi
nimepewa fununu plisi wanaweza kuitrack ikapatikana
nawasilisha
Unafanyaje!simu ikiibiwa hata ufanye restore factory bado asilimia 100% za kumnyakua mwizi zipo
nahata wakiiflash unanyakua mpaka fundi maana tunacollect hadi ip adress za computer ilofanya hilo zoezi.
na pia kama imetembea kwa watu zaidi ya 10 kila aloweka laini yake unanyakua hadi wa mwisho sasa hapo una chagua upate simu yako tuu au na mwizi wako mkapambane.
Sent using Jamii Forums mobile app
Boss nikiflash simu hutokaa uipate andika maumivusimu ikiibiwa hata ufanye restore factory bado asilimia 100% za kumnyakua mwizi zipo
nahata wakiiflash unanyakua mpaka fundi maana tunacollect hadi ip adress za computer ilofanya hilo zoezi.
na pia kama imetembea kwa watu zaidi ya 10 kila aloweka laini yake unanyakua hadi wa mwisho sasa hapo una chagua upate simu yako tuu au na mwizi wako mkapambane.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakupataje unisadie kutrack simu. Note 9.simu ikiibiwa hata ufanye restore factory bado asilimia 100% za kumnyakua mwizi zipo
nahata wakiiflash unanyakua mpaka fundi maana tunacollect hadi ip adress za computer ilofanya hilo zoezi.
na pia kama imetembea kwa watu zaidi ya 10 kila aloweka laini yake unanyakua hadi wa mwisho sasa hapo una chagua upate simu yako tuu au na mwizi wako mkapambane.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipe whatsapp number yako ni save tu in casevipo vifaa vya wazungu tunatumia mkuu watu wamezoea ku download app play store ambazo hazifanyi kazi kabisa .....vipo vifaa maalum ambavyo huwezi kuruka wala kudanganya wengi nimewafanyia kazi na wamepata simu zao na kama wapo humu waje watoe shuhuda zao.
all in all ninacho hitaji kikubwa kabla sijaanza kazi yangu ni rb tuu uliyo pewa polisi then mimi nitajua nini cha kufanya popote ulipo ilimradi iwe tanzania.
Sent using Jamii Forums mobile app
simu ikiibiwa hata ufanye restore factory bado asilimia 100% za kumnyakua mwizi zipo
nahata wakiiflash unanyakua mpaka fundi maana tunacollect hadi ip adress za computer ilofanya hilo zoezi.
na pia kama imetembea kwa watu zaidi ya 10 kila aloweka laini yake unanyakua hadi wa mwisho sasa hapo una chagua upate simu yako tuu au na mwizi wako mkapambane.
Sent using Jamii Forums mobile app
simu ikiibiwa hata ufanye restore factory bado asilimia 100% za kumnyakua mwizi zipo
nahata wakiiflash unanyakua mpaka fundi maana tunacollect hadi ip adress za computer ilofanya hilo zoezi.
na pia kama imetembea kwa watu zaidi ya 10 kila aloweka laini yake unanyakua hadi wa mwisho sasa hapo una chagua upate simu yako tuu au na mwizi wako mkapambane.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu salute kwako Mimi Nina rb ya alieibiwa mwaka umepita je muda sio tatizo?vipo vifaa vya wazungu tunatumia mkuu watu wamezoea ku download app play store ambazo hazifanyi kazi kabisa .....vipo vifaa maalum ambavyo huwezi kuruka wala kudanganya wengi nimewafanyia kazi na wamepata simu zao na kama wapo humu waje watoe shuhuda zao.
all in all ninacho hitaji kikubwa kabla sijaanza kazi yangu ni rb tuu uliyo pewa polisi then mimi nitajua nini cha kufanya popote ulipo ilimradi iwe tanzania.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba mawasiliano .vipo vifaa vya wazungu tunatumia mkuu watu wamezoea ku download app play store ambazo hazifanyi kazi kabisa .....vipo vifaa maalum ambavyo huwezi kuruka wala kudanganya wengi nimewafanyia kazi na wamepata simu zao na kama wapo humu waje watoe shuhuda zao.
all in all ninacho hitaji kikubwa kabla sijaanza kazi yangu ni rb tuu uliyo pewa polisi then mimi nitajua nini cha kufanya popote ulipo ilimradi iwe tanzania.
Sent using Jamii Forums mobile app
πππ kuna nyingine huwezi zipata mzee na wengi wanaopatikana bado hawanauelewa wa simu vzr mm ningekuwa mwizi huwezi nipata kifala kama wanavyopatikana hao maboya.simu ikiibiwa hata ufanye restore factory bado asilimia 100% za kumnyakua mwizi zipo
nahata wakiiflash unanyakua mpaka fundi maana tunacollect hadi ip adress za computer ilofanya hilo zoezi.
na pia kama imetembea kwa watu zaidi ya 10 kila aloweka laini yake unanyakua hadi wa mwisho sasa hapo una chagua upate simu yako tuu au na mwizi wako mkapambane.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata ikibadilishwa imei number mkuu?simu ikiibiwa hata ufanye restore factory bado asilimia 100% za kumnyakua mwizi zipo
nahata wakiiflash unanyakua mpaka fundi maana tunacollect hadi ip adress za computer ilofanya hilo zoezi.
na pia kama imetembea kwa watu zaidi ya 10 kila aloweka laini yake unanyakua hadi wa mwisho sasa hapo una chagua upate simu yako tuu au na mwizi wako mkapambane.
Sent using Jamii Forums mobile app