ipeleke kwa fundi simu anaeflash akuwekee firmware nyingine(aflash) otherwise utaendelea kusumbukaHabari zenu wana Jamvi.Nina tatizo moja linalonisumbua,Tatizo hili yawezekana likawepo kwenye simu za wengine pia.Simu yangu nikifungua Data na nikifungua Internet inaleta matangazo ambayo si tu yananikera kwa kuniharibia program zangu bali mengine yananitia aibu kwani inaleta matangazo ya wadada walio uchi na wengine wanasex. Naomba msaada kama kuna njia ya kuzuia matangazo haya yasitokee





utafurahi na ROHO yako...Akiweka antivirus je?........ Kwa sababu hata mimi laptop yangu iliingia hao virus nimeweka antivirus wameuawa wote sasa hivi niko poa!Factory reset haitoi adware..maana wanajieka kama system app ,solution ya uhakika ni kuweka rom mpya..
Kweny simu ni tofaut mkuu..dawa yao ni kuweka rom mpya..mana ukiweka Antivirus still Antivirus haitokua na uwezo wa kutoa system appAkiweka antivirus je?........ Kwa sababu hata mimi laptop yangu iliingia hao virus nimeweka antivirus wameuawa wote sasa hivi niko poa!
kuna app zifuatazo zinaweza kukusaidiaHabari zenu wana Jamvi.
Nina tatizo moja linalonisumbua,Tatizo hili yawezekana likawepo kwenye simu za wengine pia.Simu yangu nikifungua Data na nikifungua Internet inaleta matangazo ambayo si tu yananikera kwa kuniharibia program zangu bali mengine yananitia aibu kwani inaleta matangazo ya wadada walio uchi na wengine wanasex.
Naomba msaada kama kuna njia ya kuzuia matangazo haya yasitokee
Mkuu, majibu kama haya ya kipuuzi peleka jukwaa husika.Imeshaa haribika hiyo...ITIE KWENYE MAJI....alafu weka sabuni ya UNGA kidogo...
...subiri kama dakika 5 ikitoka hapo BOMBA...!utafurahi na ROHO yako...
..sawa ndugu Aleyn....pole kwa ujumbe wangu..Mkuu, majibu kama haya ya kipuuzi peleka jukwaa husika.

At a mi yananikera sana at tens sana maana yamezid kiwango yanIli tatizo linatokea sana kwenye simu yangu ila sina utaalamu wowote
Hapana Huna Aja ya Kuroot simu yakoMKUU hiyo luckypatcher si unatakiwa uroot simu?.... vip nikitumia adguard?
Jaribu njia hii misasa kama haito kusaidia basi tuambie tutakuonyesha njia nyingine.Ili tatizo linatokea sana kwenye simu yangu ila sina utaalamu wowote