Nawezaje kuondoa matangazo kwenye android?

Naomba Msaada simu yangu ina wiki sasa nikifungua data tu inaniletea matangazo ambayo ni pop-up hadi kero na sijui nayatoaje.
Muda mwingine naweza kuwa natuma sms lakini inacancel nachokifanya na kuja hayo matangazo.
Imekua kero sasa naomba msaada nifanye nini ili hayo matangazo yasijitokeze?
THANKS IN ADVANCE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…