shushushu VIP
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 4,800
- 4,319
Nashukuru sanaaa
Karibu sanaNashukuru sanaaa
Mbona nikidownload inatembea kidogo haijiinstalKaribu sana
Sijakuelewa Shushushu ni kwamba unapata shida kwenye ku-download au ku-install.?Mbona nikidownload inatembea kidogo haijiinstal
Nimedownload tayar ila nimeenda kwenye file manager ndio nainstall nashukuru sanaaSijakuelewa Shushushu ni kwamba unapata shida kwenye ku-download au ku-install.?
Karibu sanaNimedownload tayar ila nimeenda kwenye file manager ndio nainstall nashukuru sanaa
Hapa vipi natakiwa kuingiaa wapiKaribu sana
Oky.Hapa vipi natakiwa kuingiaa wapiView attachment 502142View attachment 502143View attachment 502144 kwa hapa nikiangaliaa nikiingia kwa millard ayo kuna matangazo hayo View attachment 502146View attachment 502148
Ubarikiwe kaka nashukuruOky.
HAPA NI MUHIMU KUZINGATIA KWENYE APP HIYO UNAYOTAKA KUTOA MATANGAZO ITAONDOA MATANGAZO YALIYOKO KWA CHINI YA APP NA SIO YALE YALIOKO NDANI YA MAKALA ZA APP HIYO.
1. Ingia kwenye app ya Lucky Patcher kisha tafuta app unayotaka kutoa matangazo.
2. Kisha chagua OPEN MENU OF PATCHES
3. Bofya Create Modified APK Files
4. Kisha chagua APK WITHOUT GOOGLE ADS
5. Malizia kwa kubofya REBUILD THE APP
Natumain hii itakusaidia, Angalia Video hapo juu au soma hapa kujifunza kwa urahisi.
KaribuUbarikiwe kaka nashukuru
Karibu sanaAsante
Ni kila app na browser, yani nikiwasha tu data zinaanza popHizo pop-ups ni kwenye kila app au browser tu??
Sawa mkuu ngoja nifanye ivodowoad app inaitwa "adclear" itafute google haiko playstore. hii app ikiwa active iko mfano wa VPN yaani inafunga milango yote ya ads hadi zile ads kwenye video za yutube hutoziona tena. trust me.
kama umenipata lete mrejesho.
Ad blocker for Android AdClearSawa mkuu ngoja nifanye ivo