Nawezaje kumuacha???

Nawezaje kumuacha???

Wewe kama humpendi mwambie ili asipoteze muda wake kwako, kwa hiyo kama humpendi unaona ni halali kugawa nje sio. Bado hiyo sio sababu ya kucheat bwana
I agree sio sababu Ila ndo 'hali halisi' on the ground...ts too late tyr familia ipo na wana watoto kumwambia asipoteze muda sijui kam Ina mantiki ukizingatia mapenzi hayana guarantees,utakimbia hapo utaona huwezi ukimpata mpya viroja vyake tu utaona heri ulikotoka..unadhani kwa nini wanasemaga ndoa ngumu?..uvumilivu muhimu sana na kutafta namna ya kusolve tatizo at hand, kuquit isn't always the solution, Kuna watoto at stake mtawapa trauma bure
 
Jaman ninaswali kuna mtu nampenda ananipenda kuna sababu zilifanya tusiwe wote. Ameoa nimeolewa nawatoto wawili anawatoto wawili. Ila ni mtu ananifaham nami namfaham kiundani zaidi ya wenzi wetu. Tulikuwa na uhusiano kabla ya kuwa na familia. Na uhusiano wetu haukuwa na mpango wakuwa na familia pamoja hilo tulilielewa mapema. Alipopata mwenza alinijulisha na tukaweka mikakati ya kutomkwaza mwenza wake. Alipoooa tuliendelea kuwa pamoja ila kwa mikakati ile ile. Nilipopata mwenza basi tukaweza kufanya vile vile. Na leo ninamiaka mitano katika ndoa na yeye anaiaka sita na nusu katika ndoa yake. Ni mwanaume anaenifaham anajua kipi napenda kipi sipendi wapi nimekwazika wapi sijakwazika hata mm pia. Kamuita mtoto wake jina langu. Nilishindwa kuamua jina la mwanangu maana madaraka yako kwa mume wangu ila nilitamani nimuite pia. Maisha yetu yameendelea. Kuna kipindi tulikwama ujenz alinisaidia sana. Kwakweli ni mtu wakaribu katika maisha yangu. Ila kila napofikiria huyu niliefunga nae ndoa najiona nafanya kosa kubwa. Ni ngumu yeye kujua kwani uhusiano wetu si wakujionesha hata kidgo siwez kaa bar wala sehem ya starehe nikiwa nae wala siwez kulala gesti. Ninapotaka kuonana nae naenda umbali na mazingira ninayoishi. Ambako hakuna uwezekano wa wenza wetu kujua. Ninaumia tu kwamba nitaacha lini kutoka nje ya ndoa yangu niliyoapa kanisan. Hebu nishaurini maana huyu nampenda ila si wangu halali
Kuwa mkweli na moyo wako na chagua moja. Kama ni mumeo basi kuwa naye na kubali madhira yote yatokanayo. Kama ni huyo mwingine kuwa naye na kubali yote yatokanayo.

Si vema kuwa na wanaume wawili kwa wakati mmoja na wote unalala nao.

Huitendei haki nafsi yako na hao wanaume.

U can't have it both ways...or rather, u can't have the best of both worlds
 
Huwenda una sababu zako za secondary za kufanya hivyo kwa hiyo pima uzito wa kilichokusababisha kufanya hivyo na madhara yake then utapata jibu sahihi.
 
I agree sio sababu Ila ndo 'hali halisi' on the ground...ts too late tyr familia ipo na wana watoto kumwambia asipoteze muda sijui kam Ina mantiki ukizingatia mapenzi hayana guarantees,utakimbia hapo utaona huwezi ukimpata mpya viroja vyake tu utaona heri ulikotoka..unadhani kwa nini wanasemaga ndoa ngumu?..uvumilivu muhimu sana na kutafta namna ya kusolve tatizo at hand, kuquit isn't always the solution, Kuna watoto at stake mtawapa trauma bure
Mpaka ufikie kuoa/kuolewa tayari umeshakubaliana na hali halisi na tena ukazaa Kinachonifanya ukachepuke ni kitu gani kama sio kukosa heshima
 
Wenye ndoa hua mnatukatisha tamaaa

Mama kitendo cha nyie kutambua hakuna future kati yenu mlipaswa mtengeneze ukuta imara hapo

Anakusaidia ujenzi how Na wewe umeolewa una mumeo ambae mlipaswa mjikwamue nyie wenyewe

Ifike mahali ujisikie vibaya Na huwezi kuacha kufanya au kupenda kufanya jambo ikiwa moyo wako haujaamua kufanya hivo

Anakupenda sawa mbona hakukuoa?
Ha ha ha jamaa fundi ujue,akiringanisha na mumewe viwango haviendani abadani..
 
Jaman ninaswali kuna mtu nampenda ananipenda kuna sababu zilifanya tusiwe wote. Ameoa nimeolewa nawatoto wawili anawatoto wawili. Ila ni mtu ananifaham nami namfaham kiundani zaidi ya wenzi wetu. Tulikuwa na uhusiano kabla ya kuwa na familia. Na uhusiano wetu haukuwa na mpango wakuwa na familia pamoja hilo tulilielewa mapema. Alipopata mwenza alinijulisha na tukaweka mikakati ya kutomkwaza mwenza wake. Alipoooa tuliendelea kuwa pamoja ila kwa mikakati ile ile. Nilipopata mwenza basi tukaweza kufanya vile vile. Na leo ninamiaka mitano katika ndoa na yeye anaiaka sita na nusu katika ndoa yake. Ni mwanaume anaenifaham anajua kipi napenda kipi sipendi wapi nimekwazika wapi sijakwazika hata mm pia. Kamuita mtoto wake jina langu. Nilishindwa kuamua jina la mwanangu maana madaraka yako kwa mume wangu ila nilitamani nimuite pia. Maisha yetu yameendelea. Kuna kipindi tulikwama ujenz alinisaidia sana. Kwakweli ni mtu wakaribu katika maisha yangu. Ila kila napofikiria huyu niliefunga nae ndoa najiona nafanya kosa kubwa. Ni ngumu yeye kujua kwani uhusiano wetu si wakujionesha hata kidgo siwez kaa bar wala sehem ya starehe nikiwa nae wala siwez kulala gesti. Ninapotaka kuonana nae naenda umbali na mazingira ninayoishi. Ambako hakuna uwezekano wa wenza wetu kujua. Ninaumia tu kwamba nitaacha lini kutoka nje ya ndoa yangu niliyoapa kanisan. Hebu nishaurini maana huyu nampenda ila si wangu halali
Hakika nimesikitika mno mno but nashukuru kama unajua unachofanya si chema.Unajua tunapenda sana kuendeshwa na hisia zetu zaidi ya sisi kuziendesha.Maamuzi ya nyie kutokuoana ilikua ni nafasi nzuri sana ya wewe kuanza ustaarabu mpya wa kufocus kwenye future yako na kumuacha kabisa haijalishi unampendaje .Kwa mtu anayejielewa na innocent asingeweza kuja kufanya kitu kama icho ktk ndoa yake lakini ulikua mbinafsi na kujipenda mwenyewe ndo mana hata ukaolewa na huyo mwingine kwa ajili ya ndoa tu ukijua una mtu wako umpendae na hutamwacha na hii itakugharimu sana wewe ukimuacha huyo mchepuka wakati huna true love na mmeo utajuta maishani mwako kwa nini ulimwachia shetani atawale maisha yako na unahitaji maombi mazito Mungu akusaidie uanze upya ktk ndoa yako.Naamini maamuzi magumu ni kitu kizuri sana endapo unajiokoa ktk jambo baya na hii kitu inawezekana only ukiamua wewe binafsi hata bila ushauri.Na usijidanganye eti unamwacha polepole hiyo ni hatari kama unaacha acha maana huyo hakuhusi angekupenda angekuoa no matter the situation.Dah nna mengi lakini nawaachia wenzangu.UNATUMIKA AMKA.
 
Mpaka ufikie kuoa/kuolewa tayari umeshakubaliana na hali halisi na tena ukazaa Kinachonifanya ukachepuke ni kitu gani kama sio kukosa heshima
Mkuu watu wanaoana kwa sabau tu na si mapenzi ya kweli ni wengi sana na ndo maana haya yako lakini ukiwa na true love lazima utakua na huruma kumfanyia mwenzio vibaya.Niambie akisikia mumewe nae anamchepuko atafurahi?Tuacheni ubinafsi jaman.
 
Hujanielewa unapokua umeolewa hujichukulii maamuzi unavyitaka mmeoana mmekua mwili mmoja maamuzi mnachukua pamoja kabla ya kuolewa you're free to do whatever the hell u want to!!
Mwili mmoja?

Hakuna kitu kama hicho asilani. Hiyo ni sham

Na kusema ukiolewa hujichukulii maamuzi unavyotaka, si kweli.
 
Mwili mmoja?

Hakuna kitu kama hicho asilani. Hiyo ni sham

Na kusema ukiolewa hujichukulii maamuzi unavyotaka, si kweli.
Hahahaha reina.Huo ndo unaitwa ukweli mchungu kama mnaishi pamoja lazima mshirikishane vitu ili mambo yawe sawa kujifanyia mambo kivyako ndo kunaleta matatizo.Kuna mengine unaweza fanya binafsi kwa kutegemea mtu uliyenae lakini kwangu hiyo ndo naamini ktk umoja maana ni nguvu.So kama una mtu kimeo hapo ni shida.
 
Shetani mkubwa wewe ulaaniwe, nyie ndio mnatufanya tusioe wanawake tunaokutana ukubwani bz wanakuwa washafanya mengi, wewe endelea naye tu hata ukitaka MPE Tigo ila wewe ni malaya mbwa Mkubwa wewe IPO siku utaumbuka
Punguza munkali braza, jifunze kitu kupitia tabia yake hiyo.
 
Me nadhani inabd sasa ukue kihisia...unahitaj kufnya maamuzi magumu yatakayoumiza moyo na hisia zako kwa muda tu lakini ndo salama yako na yake...some tymz u need to let go for good if u realy love some1. So mwambie tha u nid to stop wat u r duin na ww ndo uamue kumkwepa hta ka yy atainsist stick kwny maamuzi yako...i gurantee u ukiwa criouz na ukiomba Mungu akusaidie, utateseka kwa muda wa mwez tu then u will b free for gud. I thnk itakusaidia co ww tu bali na yeye. Pole sanaaa
Kabisa nakumbuka some years ago nilikua kwenye uhusiano mzito na mtu na hakuniambia ana mke na kweli unaweza kuamini kwamba alikua single so tulikaa ktk uhusiano kumbe mke alikua amesafiri kwenda nje ya nchi huku yeye anapeta sasa alivorudi anaanzaje kunidanganya kuwa simtaki ndo maana aliondoka mwenyewe kwenda nje na kuniacha sasa nashangaa amerudi so nikamsikiliza tu then akawa ananibembeleza sana nivumilie things will work better then tuoane we nikamwambia poa kaendelea kujibaraguza mwisho wa siku nilipopata wangu nikasepa zangu kimya kimya na mji nikahama akawa anasumbua akakutana na muhusika nikamwambia ndo mwenyewe sasa akasema so ndo unaniacha mazima au ndo mpango wa kando nikamwambia mi sio wa design hiyo nikisepa nasepa basi yakaisha lakini ningekua muhuni ningecheza rafu maana tulikua mikoa tofauti so isingekua shida.Maana alikua ni bonge la sponsor lakini nilipiga chini.
 
Aisee sio wewe Tu dada mupo wengi mapenz haya nomaa ndo mana wanawake wengi wakikutana na first lovers wao waliowatotoboa Bikra au Waliotokea kupendana sanaaa kama wewe na huyo kuna 60% ya kurudisha penz la zaman acha niendelee kuwepo wepo *Mustapha Unaoa Lin?? Aaaa bado nipo nipo sanaaa
 
Hahahaha reina.Huo ndo unaitwa ukweli mchungu kama mnaishi pamoja lazima mshirikishane vitu ili mambo yawe sawa kujifanyia mambo kivyako ndo kunaleta matatizo.Kuna mengine unaweza fanya binafsi kwa kutegemea mtu uliyenae lakini kwangu hiyo ndo naamini ktk umoja maana ni nguvu.So kama una mtu kimeo hapo ni shida.
Mkichepuka pia mnashirikishana?
 
Miye binafsi sikulaum maana kwenye mapenzi ile perfect combos huwa hawaowani sijui kwanini. Na unayeowana nae atakuwa na tofauti kubwa tuu na yule ambaye hamkuowana.

Inawezekana dini imechangia msiowane, au kabila wazee hawalitaki, hata familia pia Elimu nayo inachangia kutokuwa pamoja.

Low performance on bed inakufanya ukumbuke yule wa zamani, treatment za huyu mpya siyo nzuri km yule wa zamani.

Pole sana km hayo ya hapo juu ndiyo yanayokusibu, mtaachana mkiwa watu wazima kbs. Wakati watoto watakapokuwa ndugu zako zaid ya ndugu wa kuzaliwa. Na hapo ss unaweza acha kbs mambo hayo.

Pole sana love Chemistry ni jipu lililoshindikana kwa wengi.
Hamna kitu kama hiyo nikujiendekeza kama kweli mnapendana si muoane for better for worse kwa nini watu wawaingilie?Ina maana hamjielewi mnachotaka likitokea tatizo lazima mjue mnalitatuaje sio kuja kuwa michepuko tena maana hiyo sio suluhisho kama mnapendana oaneni.Mbona mimi tuliletewa vikwazo na tulikua indeep bt tulikomaa na ndoa ikaenda chuch kufungwa na maisha matamu yanaendelea wapinzani wote kimya.Life goez on sasa hapo ntatafuta mchepuko wa nini ?Hakuna kitu kizuri kirahisi duniani mnakomaa period.
 
Mkuu watu wanaoana kwa sabau tu na si mapenzi ya kweli ni wengi sana na ndo maana haya yako lakini ukiwa na true love lazima utakua na huruma kumfanyia mwenzio vibaya.Niambie akisikia mumewe nae anamchepuko atafurahi?Tuacheni ubinafsi jaman.
Na ndo hapo sasa, aseme kuna sababu ya yeye kukubali kuolewa sio aseme hawezi kumwambia hampendi sababu eti ni too late wana watoto tayari, kwa hiyo kabla hawajawa na mtoto alikuwa anampenda huku anachepuka au, huo ni unafiki tu na kutokujiheshimu
 
Mkichepuka pia mnashirikishana?
Ndo mana nikasema kama una mtu kimeo ni shida na namaanisha labda ni mchepukaji pia ni shida lakini kama yuko peace mbona mambo easy.Na ndo maana nikasisitiza aina ya mtu maana najua hatufanani.Na utachepuka kama ukiwa na kimeo lakini kama umeridhika na ulienae kuchepuka kunatoka wapi?
 
Kwa kuangalia thread zako za nyuma naona unanogesha jamvi.

Hata hivyo asante kwa hadithi...yanatokea kwenye jamii haya.


[HASHTAG]#heriniwepekeyangu[/HASHTAG]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom