Nawezaje kumuacha???

Nawezaje kumuacha???

Huna msimamo ndio maana yanakukuta haya ulipaswa kujifunza kumwacha aende na uongeze upendo kwa mumeo inaonesha humpend muda mwingi unamfikiria ex wako,hemu jifunze kumwacha aende
 
unaweza muacha kupitia hii mbinu...hakikisha usikumbuke wala usifanye mambo ambayo mlikuwa mnafanya mkiwa nae,usikumbuke fadhila zake hata chembe,tupa vitu vyote ambavyo alikupa au alikununulia,zingatia akili yako yote kwa mumeo wa sasa....utamsahau hatimaye utamacha kama alivyo...
Anipe kiwanja please asiitupe. This is not fair my kaka
 
unaweza muacha kupitia hii mbinu...hakikisha usikumbuke wala usifanye mambo ambayo mlikuwa mnafanya mkiwa nae,usikumbuke fadhila zake hata chembe,tupa vitu vyote ambavyo alikupa au alikununulia,zingatia akili yako yote kwa mumeo wa sasa....utamsahau hatimaye utamacha kama alivyo...
Mmmh...wewe mwenzio kasaidiwa hadi ujenzi abomoe ukuta?
 
Jaman ninaswali kuna mtu nampenda ananipenda kuna sababu zilifanya tusiwe wote. Ameoa nimeolewa nawatoto wawili anawatoto wawili. Ila ni mtu ananifaham nami namfaham kiundani zaidi ya wenzi wetu. Tulikuwa na uhusiano kabla ya kuwa na familia. Na uhusiano wetu haukuwa na mpango wakuwa na familia pamoja hilo tulilielewa mapema. Alipopata mwenza alinijulisha na tukaweka mikakati ya kutomkwaza mwenza wake. Alipoooa tuliendelea kuwa pamoja ila kwa mikakati ile ile. Nilipopata mwenza basi tukaweza kufanya vile vile. Na leo ninamiaka mitano katika ndoa na yeye anaiaka sita na nusu katika ndoa yake. Ni mwanaume anaenifaham anajua kipi napenda kipi sipendi wapi nimekwazika wapi sijakwazika hata mm pia. Kamuita mtoto wake jina langu. Nilishindwa kuamua jina la mwanangu maana madaraka yako kwa mume wangu ila nilitamani nimuite pia. Maisha yetu yameendelea. Kuna kipindi tulikwama ujenz alinisaidia sana. Kwakweli ni mtu wakaribu katika maisha yangu. Ila kila napofikiria huyu niliefunga nae ndoa najiona nafanya kosa kubwa. Ni ngumu yeye kujua kwani uhusiano wetu si wakujionesha hata kidgo siwez kaa bar wala sehem ya starehe nikiwa nae wala siwez kulala gesti. Ninapotaka kuonana nae naenda umbali na mazingira ninayoishi. Ambako hakuna uwezekano wa wenza wetu kujua. Ninaumia tu kwamba nitaacha lini kutoka nje ya ndoa yangu niliyoapa kanisan. Hebu nishaurini maana huyu nampenda ila si wangu halali
Mmmhhh....hizi ni ngonjera wallahi....kuna posts zako humu ulianza kulalamika mumeo anakudharau, mara anatishia kukuacha....leo umekuja na wewe kugegedwa nje ya ndoa.
 
Mlio oa mnaona mnavyogongewa wake zenu? unaagwa naenda sehemu fulani (ya mbali) kumuona rafiki yangu kajifungua kumbe analifuata jamaa.

akirudi k imetepeta na amechoshwa na jamaa. ukimgusa anadai safari imemchosha kumbe wapi bwana.

Hapa ndipo naukumbuka usemi wa bachelor mwenzangu kuwa "kuoa ni sawa na kujivisha bomu" muda wowote linaweza kukulipukia.
 
Miye binafsi sikulaum maana kwenye mapenzi ile perfect combos huwa hawaowani sijui kwanini. Na unayeowana nae atakuwa na tofauti kubwa tuu na yule ambaye hamkuowana.

Inawezekana dini imechangia msiowane, au kabila wazee hawalitaki, hata familia pia Elimu nayo inachangia kutokuwa pamoja.

Low performance on bed inakufanya ukumbuke yule wa zamani, treatment za huyu mpya siyo nzuri km yule wa zamani.

Pole sana km hayo ya hapo juu ndiyo yanayokusibu, mtaachana mkiwa watu wazima kbs. Wakati watoto watakapokuwa ndugu zako zaid ya ndugu wa kuzaliwa. Na hapo ss unaweza acha kbs mambo hayo.

Pole sana love Chemistry ni jipu lililoshindikana kwa wengi.
 
mshahara wa dhambi ni mauti, iko siku utafanyiwa "counter terrorism" na mume wako ukafanyiwa kitu ambacho hutakaa usahau maishani mwako, trust me nakwambia iko siku yako isiyo na jina kama ni kweli haya unayoyafanya....
 
Mshahara wa dhambi ni mauti,
Wewe endeleeni tu kutenda hiyo dhambi,Mungu atawalipa mshahara wenu.
 
mume wako atajua tu na utaaribu ndoa yako na maisha ya watoto wako, huyo mchepuko hatakaa amuache mke wake na atakudump kama toilet paper hapo ndo utaimba halleluya, acha uzinzi tubu na umrejee Mungu wako
 
Acha uzinzi, biblia inasema "kikichojificha ndani ya nyumba, iko siku kitaonekana juu ya paa". Baki njia KUU
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom