Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 28,027
- 52,500
wewe si uliniachaUtakuwa umevunja ahadi yetu kama huyu mama mwenye uzi huu![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
wewe si uliniachaUtakuwa umevunja ahadi yetu kama huyu mama mwenye uzi huu![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
we unagegeda saa ngapi saa hizi upo huku?
wewe si uliniacha
kijinamba chetu ni kile kile tuyapange kesho?Mimi bado nipo single natafuta mtu ambae ni single kama mimi huku JF ila asiwe mchoyo wa kutoa papuchi!we unagegeda saa ngapi saa hizi upo huku?
Anakupenda sawa mbona hakukuoa?
Anipe kiwanja please asiitupe. This is not fair my kakaunaweza muacha kupitia hii mbinu...hakikisha usikumbuke wala usifanye mambo ambayo mlikuwa mnafanya mkiwa nae,usikumbuke fadhila zake hata chembe,tupa vitu vyote ambavyo alikupa au alikununulia,zingatia akili yako yote kwa mumeo wa sasa....utamsahau hatimaye utamacha kama alivyo...
Mmmh...wewe mwenzio kasaidiwa hadi ujenzi abomoe ukuta?unaweza muacha kupitia hii mbinu...hakikisha usikumbuke wala usifanye mambo ambayo mlikuwa mnafanya mkiwa nae,usikumbuke fadhila zake hata chembe,tupa vitu vyote ambavyo alikupa au alikununulia,zingatia akili yako yote kwa mumeo wa sasa....utamsahau hatimaye utamacha kama alivyo...
Na mchango wa ujenzi abomoe ukuta?Atavitupa nje (physically) ila deep in the heart ataendelea kuishi naye!
Mmmhhh....hizi ni ngonjera wallahi....kuna posts zako humu ulianza kulalamika mumeo anakudharau, mara anatishia kukuacha....leo umekuja na wewe kugegedwa nje ya ndoa.Jaman ninaswali kuna mtu nampenda ananipenda kuna sababu zilifanya tusiwe wote. Ameoa nimeolewa nawatoto wawili anawatoto wawili. Ila ni mtu ananifaham nami namfaham kiundani zaidi ya wenzi wetu. Tulikuwa na uhusiano kabla ya kuwa na familia. Na uhusiano wetu haukuwa na mpango wakuwa na familia pamoja hilo tulilielewa mapema. Alipopata mwenza alinijulisha na tukaweka mikakati ya kutomkwaza mwenza wake. Alipoooa tuliendelea kuwa pamoja ila kwa mikakati ile ile. Nilipopata mwenza basi tukaweza kufanya vile vile. Na leo ninamiaka mitano katika ndoa na yeye anaiaka sita na nusu katika ndoa yake. Ni mwanaume anaenifaham anajua kipi napenda kipi sipendi wapi nimekwazika wapi sijakwazika hata mm pia. Kamuita mtoto wake jina langu. Nilishindwa kuamua jina la mwanangu maana madaraka yako kwa mume wangu ila nilitamani nimuite pia. Maisha yetu yameendelea. Kuna kipindi tulikwama ujenz alinisaidia sana. Kwakweli ni mtu wakaribu katika maisha yangu. Ila kila napofikiria huyu niliefunga nae ndoa najiona nafanya kosa kubwa. Ni ngumu yeye kujua kwani uhusiano wetu si wakujionesha hata kidgo siwez kaa bar wala sehem ya starehe nikiwa nae wala siwez kulala gesti. Ninapotaka kuonana nae naenda umbali na mazingira ninayoishi. Ambako hakuna uwezekano wa wenza wetu kujua. Ninaumia tu kwamba nitaacha lini kutoka nje ya ndoa yangu niliyoapa kanisan. Hebu nishaurini maana huyu nampenda ila si wangu halali
hahaha....inorder to get you must give....uko tayar..?Anipe kiwanja please asiitupe. This is not fair my kaka