Nawezaje kumuacha???

Nawezaje kumuacha???

Me nadhani inabd sasa ukue kihisia...unahitaj kufnya maamuzi magumu yatakayoumiza moyo na hisia zako kwa muda tu lakini ndo salama yako na yake...some tymz u need to let go for good if u realy love some1. So mwambie tha u nid to stop wat u r duin na ww ndo uamue kumkwepa hta ka yy atainsist stick kwny maamuzi yako...i gurantee u ukiwa criouz na ukiomba Mungu akusaidie, utateseka kwa muda wa mwez tu then u will b free for gud. I thnk itakusaidia co ww tu bali na yeye. Pole sanaaa
 
Wenye ndoa hua mnatukatisha tamaaa

Mama kitendo cha nyie kutambua hakuna future kati yenu mlipaswa mtengeneze ukuta imara hapo

Anakusaidia ujenzi how Na wewe umeolewa una mumeo ambae mlipaswa mjikwamue nyie wenyewe

Ifike mahali ujisikie vibaya Na huwezi kuacha kufanya au kupenda kufanya jambo ikiwa moyo wako haujaamua kufanya hivo

Anakupenda sawa mbona hakukuoa?
yaani angejua jamaa anamtumia tu hampendi wala nini? tena anamshangaa mke wa mtu kugegedwa nje nadhani anajisifu kwa kutomuoa maana hafai kabisa na ipo siku atamdump kama choo na hapo itakuwa too late maana atakuwa keshaharibu kwa mumewe
 
Kama mambo yenyewe ndio haya hizi ndoa zina mambo na siri nyingi sana. Miaka 6 kwenye ndoa bado unachepuka na jamaa yako wa zamani. Hivi kulikuwa na sababu gani hata hamkuowana??
Yule jamaa juzi aliemchoma mkewe kwa moto siri anaijua mwenyewe kwakweli. Kama mimi ndio mumeo na nikijua hii siri ipo kwa miaka 6 lazima nikukate mishkaki na kukuuza kabisa.


Ndukiiiii
 
Jaman ninaswali kuna mtu nampenda ananipenda kuna sababu zilifanya tusiwe wote. Ameoa nimeolewa nawatoto wawili anawatoto wawili. Ila ni mtu ananifaham nami namfaham kiundani zaidi ya wenzi wetu. Tulikuwa na uhusiano kabla ya kuwa na familia. Na uhusiano wetu haukuwa na mpango wakuwa na familia pamoja hilo tulilielewa mapema. Alipopata mwenza alinijulisha na tukaweka mikakati ya kutomkwaza mwenza wake. Alipoooa tuliendelea kuwa pamoja ila kwa mikakati ile ile. Nilipopata mwenza basi tukaweza kufanya vile vile. Na leo ninamiaka mitano katika ndoa na yeye anaiaka sita na nusu katika ndoa yake. Ni mwanaume anaenifaham anajua kipi napenda kipi sipendi wapi nimekwazika wapi sijakwazika hata mm pia. Kamuita mtoto wake jina langu. Nilishindwa kuamua jina la mwanangu maana madaraka yako kwa mume wangu ila nilitamani nimuite pia. Maisha yetu yameendelea. Kuna kipindi tulikwama ujenz alinisaidia sana. Kwakweli ni mtu wakaribu katika maisha yangu. Ila kila napofikiria huyu niliefunga nae ndoa najiona nafanya kosa kubwa. Ni ngumu yeye kujua kwani uhusiano wetu si wakujionesha hata kidgo siwez kaa bar wala sehem ya starehe nikiwa nae wala siwez kulala gesti. Ninapotaka kuonana nae naenda umbali na mazingira ninayoishi. Ambako hakuna uwezekano wa wenza wetu kujua. Ninaumia tu kwamba nitaacha lini kutoka nje ya ndoa yangu niliyoapa kanisan. Hebu nishaurini maana huyu nampenda ila si wangu halali


Daaah. Nyie hatari.TUBU HIYO DHAMBI NA AMUA MOYONI KWA DHATI KABISA KUAMBATANA NA MUMEO INAWEZEKANA KABISA KAMA UMEWEZA KUUFICHA UOVU HUO KWA MUMEO MIAKA YOTE HIYO, BASI HATA KUUACHA UNAWEZA.
 
duh.kweli ndo maana maandiko yanatuambia tuishi na nyie viumbe kwa umakini..kumbuka mwanamke mjinga huvunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe.
 
Ndoa zina Siri nyingi kwa kweli. Mungu akusaidie uachane na Hiyo tabia mapema kabla hujaharibu ndoa yako.

Angekuwa anakupenda angekuoa mkae pamoja
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom