Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 11,355
- 13,887
Sijui huyo ni bwana akeSasa hapa mimi nisigeuke kweli!!!
Sijui huyo ni bwana akeSasa hapa mimi nisigeuke kweli!!!
Mimi hapo ndo huwa sigeuki kabsaa kwani walioko pembeni ambao wametangulia kumuona watakuangalia wewe badala ya yeye na ukijikwaa au ajari aibu ni kwakoSasa hapa mimi nisigeuke kweli!!!
mpita njia,anategea dem atangulieSijui huyo ni bwana ake
ahahahaaaa ngoja na mie nianze kusukuma masingi maana nilishaongea lakini haachiNilikua nasukumizwa masingi weee mwisho wa siku akawa ananshtua mwenywe tuu likipta la ukwel utaskia chek uumbaji huo.... nmejikuta naacha mwenywe
Ha ha ha ha ukidundwa mie simo la msing Anza kumunyesha mwenyewe kabla hajageuka ataacha tuahahahaaaa ngoja na mie nianze kusukuma masingi maana nilishaongea lakini haachi
ok ngoja nijaribu ila inatuumiza sana sisi ke mi nilijua pekeyangu kumbe ni jipu suguHa ha ha ha ukidundwa mie simo la msing Anza kumunyesha mwenyewe kabla hajageuka ataacha tu
Sasa mnakua mnawaza nn?ok ngoja nijaribu ila inatuumiza sana sisi ke mi nilijua pekeyangu kumbe ni jipu sugu
kwamba yeye ni bora kuliko mimi ndo tafsiri yakeSasa mnakua mnawaza nn?
Lakin c hua inaishia hapo hapokwamba yeye ni bora kuliko mimi ndo tafsiri yake
yeah yanaisha hapo ila mnatufanya tuwaze vitu vingi kwamba mbele yangu ananionyesha tabia hii vp akiwa pekeyake.tunamshukuru mungu katupa uvumilivu na kusameheLakin c hua inaishia hapo hapo
Sasa c ushukuru Hilo unalionayeah yanaisha hapo ila mnatufanya tuwaze vitu vingi kwamba mbele yangu ananionyesha tabia hii vp akiwa pekeyake.tunamshukuru mungu katupa uvumilivu na kusamehe
Inawezekana kweli?Ukipishana nae assume kuwa umeshageuka kumuangalia lakini bila ya kugeuka
Hapa hakuna namna, ni kugeuka tuSasa hapa mimi nisigeuke kweli!!!