Nawezaje kuacha tabia hii mbaya?

Nawezaje kuacha tabia hii mbaya?

Hii imekaa kiphysics zaidi maswala ya walimbwendetation force na SI Unit yake ya “Lazima ugeuke”
Formulae other factors remaining constant
Big Azz Booty/Beauty Azz Face × Beyonce's like Motion=Multiple Angles Head Rotations.
Siyo dhambi it comes naturally bro...mambo ya sexy human physical features hayo.
 
gogo5.jpg

lazima ugeuke tuuu....ila hilo ni pepo tafuta viongozi wa dini wakuombee
Acha makusudi bas tupo kwenye mfungo.
 
Wacha maneno yako wewe usiinyime nafsi fahari yake,hao viumbe wapo Kwa ajili yetu by the way fahari ya macho haifilisi duka
Mara nyingi nikipishana na msichana nisiyemfahamu lazima nigeuze shingo kumtazama kwa nyuma.Ni wengi wenye tabia hii mbaya,tabia inatupotezea mda sana hata kusababisha ajali.Hata nikiwa kwenye gari lazima nimtizame kwenye kioo.Tunawezaje kuepuka hili wataalam wa mambo ya saikolojia?
 
Hii imekaa kiphysics zaidi mawaswala ya walimbwendetation force na SI Unit yake ya “Lazima ugeuke”
Formulae other factors remaining constant
Big Azz Booty/Beauty Azz Face × Beyonce's like Motion=Multiple Angles Head Rotations.
Siyo dhambi it comes naturally bro...mambo ya sexy human physical features hayo.
Duh
 
Nilikua nasukumizwa masingi weee mwisho wa siku akawa ananshtua mwenywe tuu likipta la ukwel utaskia chek uumbaji huo.... nmejikuta naacha mwenywe
 
Asante point tumeipata hongera kwa kua na gari.
 
  • Thanks
Reactions: irk
Huuu mchezo nilikuwa nao hadi nikawa expert yani, nikimuona KE kwa mbele najua huyu kazaja kidgo huyu wastani n.k


Picha likaja nikiwa na masela road sigeuki nawambia man huyu KE akipita angalia nyuma utaona zigo

Hiko kipaji mkuuu kikuze
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom