pet geo pet
JF-Expert Member
- Jun 30, 2018
- 463
- 644
Wakuu habari!
Ninavyeti kama ifuatavyo,cheti cha darasa la saba, cheti ya o'level, cheti cha A'level, cheti cha chuo,na vyet vya dini ambavyo nilifahuru kwenda seminary kwa kupata daraja A.
Naomba kujua kuna taasisi yeyote ile inakopesha kwa vyeti hivi ili nikaweke kama dhamana niweze kupata mtaji nijiari.
Wenye uelewa kuhusu mikopo please naombeni mnijuze...sioni maana ya kuwa na hivi vyeti kabisa bora nikaweke bond.
Au kama kuna Mtu umu anaweza kunirusu nimuwekee bondi anipe M5 nifanye biashara.
Ninavyeti kama ifuatavyo,cheti cha darasa la saba, cheti ya o'level, cheti cha A'level, cheti cha chuo,na vyet vya dini ambavyo nilifahuru kwenda seminary kwa kupata daraja A.
Naomba kujua kuna taasisi yeyote ile inakopesha kwa vyeti hivi ili nikaweke kama dhamana niweze kupata mtaji nijiari.
Wenye uelewa kuhusu mikopo please naombeni mnijuze...sioni maana ya kuwa na hivi vyeti kabisa bora nikaweke bond.
Au kama kuna Mtu umu anaweza kunirusu nimuwekee bondi anipe M5 nifanye biashara.