enock yusto
JF-Expert Member
- May 28, 2014
- 377
- 340
*NAOMBENI MNISAIDIE KUSHARE HUU UJUMBE WADAU*
Kwa majina naitwa Enock Yusto mkazi wa Dar es salaam.
Leo tarehe 3/05/2019 majira ya saa Tisa alasiri nimeibiwa bag langu maeneo ya Msimbazi Centre Ilala.
Ndani ya ilo bag kulikua na nyaraka zangu muhimu ambazo ni;
1 *Cheti cha kuzaliwa*
2 *cheti changu cha form four*
3 *Cheti changu cha form six*
4 *vyeti vyangu vya chuo CBE academic na Transcript*
5 *Bima ya afya NHIF*
6 *Kadi ya mpiga kura*
Pia kwenye bag kulikua na vifaa vyangu vya kazi pamoja na coat maalumu kwa ajiri ya kazi.
Naombeni ndugu zangu atakayeweza hata kuokota ivyo vyeti vimetupwa mahali naomba anisaidie niweze kuvipata zawadi ya kushukuru itatolewa .
Napatikana kwa namba zifuatazo
*0762676448*
*0716522965*
Natanguliza shukurani kwa wote mtakaosaidia kufanikisha hili zoezi kwa kushare ujumbe uwafikie watu wengi.
Kwa majina naitwa Enock Yusto mkazi wa Dar es salaam.
Leo tarehe 3/05/2019 majira ya saa Tisa alasiri nimeibiwa bag langu maeneo ya Msimbazi Centre Ilala.
Ndani ya ilo bag kulikua na nyaraka zangu muhimu ambazo ni;
1 *Cheti cha kuzaliwa*
2 *cheti changu cha form four*
3 *Cheti changu cha form six*
4 *vyeti vyangu vya chuo CBE academic na Transcript*
5 *Bima ya afya NHIF*
6 *Kadi ya mpiga kura*
Pia kwenye bag kulikua na vifaa vyangu vya kazi pamoja na coat maalumu kwa ajiri ya kazi.
Naombeni ndugu zangu atakayeweza hata kuokota ivyo vyeti vimetupwa mahali naomba anisaidie niweze kuvipata zawadi ya kushukuru itatolewa .
Napatikana kwa namba zifuatazo
*0762676448*
*0716522965*
Natanguliza shukurani kwa wote mtakaosaidia kufanikisha hili zoezi kwa kushare ujumbe uwafikie watu wengi.