Naweza kupata wapi mjusi mwenye kichwa chekundu?

Wana jamvi poleni na harakati!!naombeni mwongozo nitapata wapi yule mjusi mkubwa mwenye kichwa chekundu anaependa kujianika juu ya mawe makubwa!huyu mjusi kwa jina la kitaalam sijui ila kilugha namjua huwa anapenda sana kuota jua kwenye mawe mtoni au kwenye miamba mikubwa!!na nakumbuka kipindi nawinda huko vijijini ukimpiga na manati anakwepa kama anaakili vile!msaada pliez naweza mpata wapi!!!
Kwetu wapo wanaitwa gong'ole. Ni pm
 
Wapo wengi sana dom, kuna jamaa alikuwa anakuja na mitego kila weekend anawakamta wengi sana! Na n'nge wale wakubwa alikuwa anawanunua tsh 2500@ Hasemi anapowapeleka! Plss funguka aisee!
 
Hao unaowataka wanaitwa gomamli au kibinya mapu...m...bu.
sanasana wanapatikana mikoa ya kanda ya ziwa.
 
Hapa kwetu musoma wengi sana tunawaita bhutuku kuna kawimbo enzi za utoto tuliwaimbia sana

kwa majuu wanasoko sana kwa utalii wa ndani kwenye ma zoo ila hapabongo kamati za ufundi anahusika sana huyu mjusi.
 
Duh! Cku hiz hawaitaj tena kuku na mbuz? Naona wamehamia kwenye mijus kafiri
 
Magomamli yale yanayokaa mitini yanatisha kwa sura unakuta limezeeka kubwa mpaka magamba yanapatikana kwa wingi mitaa ya mwananchi nyakato
 
waganga wa kienyeji wanajua kuwatesa wateja wao ona sasa umetumwa limjusi hata linapopatikana hapajulikana mpe hela huyo mganga atakubadilishia masharti
 
Mkuu mwambie huyo mganga akubadilishie masharti, huyo dude hapatikani enzi hizi....!!!!

BACK TANGANYIKA
 
Back
Top Bottom