Naweka dau laki 3; Yanga hatoki kwa Al Hilal

Yaani kuna watu wajinga sijapata kuona. Hiyo timu inavyopigiwa upatu utadhani ni tishio, lakini kama una akili timamu unajua hata kufuzu kwao hatua hii wamepata taabu kweli, ushindi mwembamba wala sio kitu cha kutisha. Sema kuna watu wamejaliwa midomo michafu nyenye kuwashwa kutema shombo.
Hawa jamaa (Al-Hilal) nasikia wameshinda kwa tuta, ndio wanasifiwa namna hii!
 
Mimi sio mshabiki wa Yanga, lakini napenda kusema ukweli. Yanga ya sasa hivi ni bora kuliko timu yoyote ya Tanzania. Hata Simba kwa sasa hatuna viwango vya ubora wa Yanga. Sababu za msingi ni hizi:

1. Kwa aina ya kocha waliyenaye sasa Yanga, uwezo wake (kumsoma adui ndani ya mechi na kuibadili timu kucheza ndani ya mechi), hicho ndio kiwango cha kucheza mechi za kimataifa.

2. Ubora wa wachezaji kama Fiston Mayele katika kufunga, Aziz Ki katika kugawa mipira na Feitoto katika kusukuma timu kushambulia, Yanga wanaweza kuifunga timu yoyote hapa Afrika. Narudia tena, Yanga ya sasa wanaweza kuifunga timu yoyote hapa Afrika.

Kiwango cha uchezaji wa kiushindani kinachoonyeshwa sasa na Yanga, bila ushabiki ninapenda kusema wazi, ni kiwango tunachokiona kwa timu za hatua ya robo fainali. Sio mtoano wala makundi kunakoweza kumsimamisha Yanga, labda hatua ya robo fainali. Al hilal sio timu tishio kwa Yanga, sijaona kitu kipya au kitu cha ajabu.
Mpenzi wa soka pale anapozungumzia soka pasipo mihemko wala mapenzi .

This is maturity.
 
Unaijua Al hilal kweli kama kibonde vipers alikubamiza 2 Al hilal si atakupiga 3mara 2
Mkuu kwenye football hamna cross multiplication.

Eti kwa sababu huyu alimfunga huyu basi na huyu atamfunga huyu hiko kitu hamna.

Arsenal amefungwa na united, Brentford akamfunga united na pia Brentford akafungwa na Arsenal huo ndio mpira.

Acha muda uongee.
 
Sasa
unazani Al Hilal wangepewa zalan si wangempiga 100-0. wao walianza na st george washindani kweli kweli sio zalan na mechi zao zilikuw na home na away sio kwa mkapa zote mbili.
Hebu tutumie hesabu zako: Simba kamfunga St George 2, afu kufungwa na Al hilal 1. Hapo hapo Hilal gemu moja KAPIGWA na kibonde wa Simba 2-1, kabla ya kupata ushindi wa taabu goli 1 nyumbani. Huoni kwa hiyo system yako ya analysis Yanga ni bora kuliko wote hao? Kamnyuka Simba 2 - 1 bila majibu.
 
Nawaonea huruma sana Yanga kukutana na jiwe ambalo hata wao walikuwa wanaomba usiku na mchana wasipite hili chocho. Baadhi wanajipa faraja kutokana na ufasini wa Simba Sc kimataifa wakidhani ni kazi rahisi.

View attachment 2361516

Tathmini niliyofanya inaniambia Utopolo imefika mwisho, hivyo ijiandae na Confederation Cup.

Kama mtu nayejiamini naweka dau la laki 3. Utopolo wakitoboa nitatoa kwa member au members watakao weka dau na mimi. Moderator wanaweza kusimamia show nzima ya dau.
Naongeza 50
 
YN



WAKITOBOA HAPO NITAAMINI KUWA WAO NI TIMU BORA AFRICA.. HUKO HAKUNA MAMBO YA ILE MICHONGO YA KUGAWA PESA KWA WAAMUZI NA TIMU PINZANI BILA KUSAHAU VUMBA ZA USHIRIKINA KAMA WANAVYOFANYAGA WAKIWA BONGO, NAWAKUMBUSHA WASISAHAU NA ZILE SINDANO WANAZOCHOMAGA WACHEZAJI WANAOWATEGEMEA ILI KUONGEZA NGUVU KIPINDI CHA PILI. TUKUTANE CAF!!
images (38).jpeg

Ukijua huwezi kufanya upuuzi huo 👆👆👆 kama mlivyo fanya nyinyi memelizalilisha taifa.

Ukijua unaju hata uanzie wapi.
 
Nawaonea huruma sana Yanga kukutana na jiwe ambalo hata wao walikuwa wanaomba usiku na mchana wasipite hili chocho. Baadhi wanajipa faraja kutokana na ufasini wa Simba Sc kimataifa wakidhani ni kazi rahisi.

View attachment 2361516

Tathmini niliyofanya inaniambia Utopolo imefika mwisho, hivyo ijiandae na Confederation Cup.

Kama mtu nayejiamini naweka dau la laki 3. Utopolo wakitoboa nitatoa kwa member au members watakao weka dau na mimi. Moderator wanaweza kusimamia show nzima ya dau.
Siku ya mechi, utaibukiwa kama mwewe
 
Mimi sio mshabiki wa Yanga, lakini napenda kusema ukweli. Yanga ya sasa hivi ni bora kuliko timu yoyote ya Tanzania. Hata Simba kwa sasa hatuna viwango vya ubora wa Yanga. Sababu za msingi ni hizi:

1. Kwa aina ya kocha waliyenaye sasa Yanga, uwezo wake (kumsoma adui ndani ya mechi na kuibadili timu kucheza ndani ya mechi), hicho ndio kiwango cha kucheza mechi za kimataifa.

2. Ubora wa wachezaji kama Fiston Mayele katika kufunga, Aziz Ki katika kugawa mipira na Feitoto katika kusukuma timu kushambulia, Yanga wanaweza kuifunga timu yoyote hapa Afrika. Narudia tena, Yanga ya sasa wanaweza kuifunga timu yoyote hapa Afrika.

Kiwango cha uchezaji wa kiushindani kinachoonyeshwa sasa na Yanga, bila ushabiki ninapenda kusema wazi, ni kiwango tunachokiona kwa timu za hatua ya robo fainali. Sio mtoano wala makundi kunakoweza kumsimamisha Yanga, labda hatua ya robo fainali. Al hilal sio timu tishio kwa Yanga, sijaona kitu kipya au kitu cha ajabu.
Hyo hilal imepitajepitaje om and away alifanyaje

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Sasa

Hebu tutumie hesabu zako: Simba kamfunga St George 2, afu kufungwa na Al hilal 1. Hapo hapo Hilal gemu moja KAPIGWA na kibonde wa Simba 2-1, kabla ya kupata ushindi wa taabu goli 1 nyumbani. Huoni kwa hiyo system yako ya analysis Yanga ni bora kuliko wote hao? Kamnyuka Simba 2 - 1 bila majibu.
Wanaanza lini kukutana Kwanza tuanze hapo

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom