CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,253
- 12,869
Tashughulikia kwa mnaotumia simu; seen and will get it fixed
ooh, thanks in advance.. .
Tashughulikia kwa mnaotumia simu; seen and will get it fixed
Duh! Si mchezo lol
ndo ki nini tena hiki?
Hiyo kitu unayopenda kutumia ndo inaniogopesha. Hakuna chapati?
wewe si huwa unariiiinga
badala ya kutembelea thread za kukupa raha mjini ,wewe unavizia vizia tu kuwapa watu ban huko jukwaa la siasa..siasa bongo bwana
siasa nyerere alishindwa yupo wapi sasa?
Toka huko njoo ule raha za dunia mitaa ya mmu na chitchat mkuu?
But nitarudia offer wiki ijayo stay tuned!
Hakuna haja ya kueleza kwanini naanzisha thread hii, lakini naamini watakaobaini wataendeleza ninacholenga.
Nimetembelea thread ya Smile hapa - https://www.jamiiforums.com/jf-chit-chat/344249-wakunitoa-wekend-jamani.html lakini nahisi sikujitendea haki kwakuwa w/end imeisha... #JustSaying
How did I miss this golden chance?
Asprin,
Umegundua watu wanasoma vitu juu juu? Hahahaha, hadi Smile wangu nimegundua hakuwa anasoma the whole para! #JustSaying
But, you can use any other hashtag, itarahisisha kwa wale wanaotaka kufuatilia hashtag hiyo
Hakuna haja ya kueleza kwanini naanzisha thread hii, lakini naamini watakaobaini wataendeleza ninacholenga.
Nimetembelea thread ya Smile hapa - https://www.jamiiforums.com/jf-chit-chat/344249-wakunitoa-wekend-jamani.html lakini nahisi sikujitendea haki kwakuwa w/end imeisha... #JustSaying
How did I miss this golden chance?
eheheeeee ngoja nimpm nimefulia kweli leo
nilikuwa nawaza leo lunch nitaishi vipi aisee?
ndege huyoooo tunduni
Hiyo kitu unayopenda kutumia ndo inaniogopesha. Hakuna chapati?
@figganiga me sina nia mbaya. nilikuwa namkaribisha Invisible breakfast ama nimekosea????
Mi ngoja niitumie ila sijajua lengo lake nini #justsaying