NostradamusEstrademe
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 3,032
- 4,028
Miaka ya nyuma kuwekewa tu simu ya mezani ilikuwa ni issue kubwa unaweza ukazungushwa sana. Mara paaap zikaja simu za mikononi TTCL yale maringo hayapo tena. Shirika la Posta sina ushahidi nalo kuhusu tuhuma za usumbufu mara paaap simu za mkononi kutumiana message sio lazima kuandika barua, siku hizi sekunde moja mtu wa Marekani msiba umetokea kwa Tanzania mtu wa Bukoba ndio anakupa taarifa wewe ukiwa hujui.
Sasa nawazia TANESCO ambao ndio shirika pekee lenye dhamana ya kusambaza umeme, je, kungeruhusiwa kampuni binafsi kusambaza umeme utendaji kazi wao ungekuwaje? Nasikia nchi za Kiarabu unaweza zalisha umeme ukasambaza mitaaani.
Ni mawazo tu TANESCO msichukie mtu hakatazwi kuwaza mnakera sana mtu mita imeharibika badala ya kuja haraka kumwekea nyingine inapita miezi mitatu hamuoni Serikali inakosa mapato?
Sasa nawazia TANESCO ambao ndio shirika pekee lenye dhamana ya kusambaza umeme, je, kungeruhusiwa kampuni binafsi kusambaza umeme utendaji kazi wao ungekuwaje? Nasikia nchi za Kiarabu unaweza zalisha umeme ukasambaza mitaaani.
Ni mawazo tu TANESCO msichukie mtu hakatazwi kuwaza mnakera sana mtu mita imeharibika badala ya kuja haraka kumwekea nyingine inapita miezi mitatu hamuoni Serikali inakosa mapato?