Nawaza tu: Huenda Sabaya hatomaliza kifungo cha miaka 30

Mimi naamini ile hukumu Ni kiini macho tu.

Kwenye rufaa wanaenda kumtoa hao hao waliosema ashtakiwe.

Ni kesi tu ya kuwapoza wahanga wake machungu.

Tusubiri!
Kweli kabisa huenda ikawa hivyo.
Ngoja tusubiri tuone
 
Asalam wakuu naomba mnukuu kwanza kwenye title ya uzi kuwa nawaza tu na neno huenda ndilo mpigie mstari.
Ni kwamba sina uhakika Japo sipo sahihi kama sabaya atakaa miaka 30 jela.
Kulingana na kauli ya sabaya leo kuwaambia hata wasihofu Mungu yupo huenda ina Maana Zaidi.
Je, unazani hakuna watu nyuma ya Sabaya? Kama wapo unazani watamuacha Muda wote huo? Jibu ni hapana najua unajiuliza kuwa watafanya nini na hukumu ishatoka.
Basi Mimi najaribu kuwaza huenda sabaya atakaa Jela miaka michache sana nijaribu kuassume hata miaka 10 Japo sipo sahihi harafu kutatokea na msamaha wa Rais na hapo Sabaya anaweza kutoka.

Hayo ni mawazo tu.
Sawa lakini walau 7 ataimaliza ili ajifunze kwamba madaraka huwa ni dhamana tu..tena mbaya zaidi dhamana yake hiyo ilitoka kwa mtu ambaye na yeye kaiba kura.
 
Mahakama ya rufaa kumuachia mtu ni sekunde tu any proved legal doubt tayari mtu anachomoka na ukizingatia ile kesi ina vichochoro vingi sana vya kutokea.
 
Back
Top Bottom