WomanOfSubstance
Platinum Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 972
I smell udini, missionary haijawahi kujenga hospitali zimjengwa naserikali ya kikoloni ambao walikuwa wakiongoza kikristo; walitumia kodi za wananchi wote wa Tanzania, "Hakuna hospitali ya missionary" kuna hospitali za zilizojengwa na serikali za wakoloni wakristo
Mkuu Godwine,
Ninalo swali moja tu,
Hospitali zote za Dar es Salaam ambazo nimewahi kwenda kuwatembelea marafiki zangu kitanda kimoja wanalala 3 na wengi wao wako chini. Huduma ni mbovu hakuna dawa, seuse maslahi ya madaktari? Wamesahauilika kabisa. Madaktari wenyewe wanasema tunawabadilishia wagojwa magonjwa. Ukija na Malaria unapewa dawa ya Malaria halafu unaondoka TB kwa sababu ya msongamano. Hali hii mpaka lini?
Madaktari maslahi yao yamebanwa - wako frastrated na hawawezi kutoa huduma bora, hali hii mpaka lini?
Rafiki yangu na ndugu yangu wa karibu alifanyia mama mjamzito operation kwa tochi ya simu majuzi hapo mwananyamala baada ya umeme kukatika. Alipomfuata Mganga mkuu wa hospitali aliambiwa, Sina pesa na Serikali imesema haina pesa. Sasa ameniambia anataka kuacha kazi kuliko kuona wagonjwa wanakufa mbele ya macho yake kwa magonjwa yanayotibika na maslahi yake duni sana. Hali hii hadi lini?
Ifahamike hapa Tanzania hao wagonjwa wa kipato cha chini unaowatetea kwa taarifa ambazo serikali inakubali yenyewe ni kwamba, kwa siku mmoja tu wanakufa wamama wajawazito kati ya 24 hadi 36( within 24 hrs) Sasa kuna vifo gani vipya unavyosema vitasababishwa na mgomo wa madaktari? Vifo vya kizembe vipo tu kabla ya mgomo.
Uamuzi wa madaktari kugoma haukuwa uamuzi rahisi; ni uamuzi ambao umekuja ukiwa na gharama kubwa kwao na kwa taifa vile vile. Lakini uamuzi ambao umekuja kwa sababu umelazimishwa. Sera ambazo zimekuwa zikisimamia sekta ya afya zimeonekana kushindwa na sasa haya ni mavuno yake. Upo mgogoro katika sekta hiyo na licha ya kuongezwa kwa vitu bado inaonekana watawala wameshindwa kabisa kujenga mfumo wa kisasa wa afya.
Hivyo, naamini madai ya madaktari ni hatua ya mwanzo ya kudai huduma bora na mfumo wa kisasa. Siamini kama ni suala la mishahara na maslahi ya madaktari tu; binafsi naamini ni suala linalohusiana na a comprehensive healthcare reform.
a. Hatuwezi kuendelea kuwa na serikali inaendesha mahospita mengi ambayo haina uwezo wa kuyahudumia - wakati umefika wa kufikiria serikali kuachia hospitali - ibakie na hospitali kama za jeshi n.k Tunaweza vipi kuzitoa hospitali kutoka kwenye mikono ya serikali na kuzileta kwenye sekta binafsi au ushirikiano wa sekta binafsi na ya umma?
b. Mfumo wa sasa wa centralized policy ya afya kwa taifa zima hata kwa mambo madogo umepitwa na wakati. Ipo haja katika kuangalia mfumo wetu wa afya kufikiria jinsi ya kufanya healthcare kuwa na a local outlook zaidi na hivyo kuwa ni ya sehemu ilipo.
c. Kuboresha maslahi ya watendaji wa sekta ya afya kwa kuweka motisha zaidi, uhuru zaidi na vile vile kuinua elimu. Mojawapo ya matatizo ambayo ni wazi yapo ni jinsi gani madaktari na wauguzi wetu wanakuwa upgraded katika ujuzi na elimu yao.
Ni kwa sababu hizi na nyingine naamini kuunga mkono mgomo wa madaktari ni jambo la kizalendo zaidi kuliko kuendelea kukaa kimya. Wao madaktari wanapodai maslahi zaidi na mafao zaidi wajue kabisa kuwa wananchi nao wanajiandaa kuwadai wao zaidi katika huduma na ubora wa huduma wanazotoa. Hivyo, wasikubali kuachilia kirahisi hadi wawe na uhakika kuwa madai yao ya msingi kabisa yameangaliwa na yanalenga katika kuboresha sekta ya afya nchini.
Nawaunga mkono madaktari katika mgomo wao!
Inawezekana unaamini kabisa kuwa unesema kitu profound! Kweli unafikiri nimechukua msimamo kwa sababu sijawahi kuuguliwa? Kwa vile ndugu zangu wameumbwa kwa mawe? Hivi tunapuzungumza ndugu yangu wa karibuanatakiwa kufanyiwa upasuaji ijumaa hii hapohapo nyumbani. Sasa nichukue msimamo tofauti baada ya kuangalia maslahi yangu kwanza?
Kwani unafikiri serikali hii ukiifikishia ujumbe kwa njia nyingine wataelewa? Kama jk anajua davos kuna kikao cha urozone ameenda kufanya nn kama sio kwenda kutangaza kuwa tz kuna mapande ya ardhi ya bure? Na ujumbe kuhusu posho za wabunge kila mtu amepiga kelele hawakusikia.,?​kwahiyo unadhani wakigoma nani ambae atapata matatizo ? serikali au wananchi masikini? unadhani hakuna njia nyingine ya wao kufikisha ujumbe?
Wakati Wabunge wamejiongezea posho ya 200 kwa siku na kikao chao ambacho ni masaa 7, wanaanzia saa 3:00 mpaka saa 7:00 mchana na kurudi saa 11jini mpaka saa 2:00 usiku, huku wamekaa kwenye kiti cha luxury wengine wakisinzia tuu au bila kuchangia chochote, huku wengine wakishinda canteen au just kurandaranda viwanja vya bungeni kuamkua jamaa!. Madaktari wao 10,000! kwa shift ya 8 hours usiku mpaka asubuhi!.
Hata vile vi little brown envelopes vya usafiri wa waandishi wa habari minimum ni 20,000! kwa press conference ya 30 min!
Hii ni dharau kwa madakitari wetu!, Acha wagome!.
hii ni siasa tu
Tanzania haipo sawa na Egypt wala Libya
kama wanasiasa wameshindwa kutoa shinikizo kwa watala
madaktari wasitumike kufanya siasa huku 'watu wasiokuwa na hatia' wanakufa...
serikali iliyopo ni kama viziwi
walijaribu chama cha wafanyakazi na wakazimwa.....
kilichopo sasa ni kujaribu kutoa maji kwenye jiwe while wasio husika ndo watakufa.....
tunajidanganya mno na kuiga Misri na Egypt.....ukweli sisi bado saana.....
wamefukuzwa wanafunzi chuo kikuu hakuna mwanasiasa aliekwenda kuwasaidia.....
tusiwaponze hawa madaktari
utawala huu unahitaji 'political interverntion...na sio madaktari'
hii ni siasa tu
Tanzania haipo sawa na Egypt wala Libya
kama wanasiasa wameshindwa kutoa shinikizo kwa watala
madaktari wasitumike kufanya siasa huku 'watu wasiokuwa na hatia' wanakufa...
serikali iliyopo ni kama viziwi
walijaribu chama cha wafanyakazi na wakazimwa.....
kilichopo sasa ni kujaribu kutoa maji kwenye jiwe while wasio husika ndo watakufa.....
tunajidanganya mno na kuiga Misri na Egypt.....ukweli sisi bado saana.....
wamefukuzwa wanafunzi chuo kikuu hakuna mwanasiasa aliekwenda kuwasaidia.....
tusiwaponze hawa madaktari
utawala huu unahitaji 'political interverntion...na sio madaktari'
Tunaweza vipi kuzitoa hospitali kutoka kwenye mikono ya serikali na kuzileta kwenye sekta binafsi au ushirikiano wa sekta binafsi na ya umma:.
kabla ya mgomo watu walikuwa wanapata hudumu kwa kiwango fulani, lakini kama mgomo ukiendelea basi huduma zitasimama kabinsa na vifo vitaongezeka mara dufu, na vifo vyenyewe vitakuwa vya watanzania masikini wasioweza kwenda hospitali za gharama kubwa. uwepo wa hospitali za umma unasaidia kwa kiwango kikubwa kuliko kutokuwepo kabisa
hii ni siasa tu
Tanzania haipo sawa na Egypt wala Libya
kama wanasiasa wameshindwa kutoa shinikizo kwa watala
madaktari wasitumike kufanya siasa huku 'watu wasiokuwa na hatia' wanakufa...
serikali iliyopo ni kama viziwi
walijaribu chama cha wafanyakazi na wakazimwa.....
kilichopo sasa ni kujaribu kutoa maji kwenye jiwe while wasio husika ndo watakufa.....
tunajidanganya mno na kuiga Misri na Egypt.....ukweli sisi bado saana.....
wamefukuzwa wanafunzi chuo kikuu hakuna mwanasiasa aliekwenda kuwasaidia.....
tusiwaponze hawa madaktari
utawala huu unahitaji 'political interverntion...na sio madaktari'
Umekasirika Mwanakijiji. Hii haiwezi kuwa hoja yako kwa kawaida.Kabla ya mgomo walikuwa hawafi au walikuwa wanakufa wachache?
Pumbafu wewe... umejaaa udini tuuu pasipo kujua unachoandika... Yaani nia yako ilikuwa kuuponda ukristo na mfumo wa kikrustu uliokuwepo kisa wakoloni wa kijerumani walikuwa wakristo... Hujui kama na waarabu walitawala... wao wameacha nini ambacho kinaonekana?? Wameacha shule ngapi au hospitali ngapi.... iwe Znz au Bara... Acha uzuzu kabisa... Na by the way hospitali za missionary si lazima ziwe za wakristu hata waislam wanazo... ni charitable institutions, mwehu wewe..