Kifurukutu
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 4,666
- 6,742
Wagome watumbuliwe tuajiriwe wengine tupo wengi sana huku mtaani tena wenye morali ya kazi!Walimu wenzangu, hakuna haja ya kugoma kwa sababu ni sawa na kukata tawi la mtiulilokalia. Tafadhali sana hususani vijana wenzangu tunatakiwa tutambue kuwa UALIMU NI WITO!