Mgirik
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 13,271
- 13,429
Kuna sk niliomba ushaur juu ya mwenendo wa mke wa rafki yang kwangu kwan alitaka nimzalishe ukweli alitia majaribun lakn baada ya kupata ushaur wenu wakuu na mm nikamshauri sasa amejirekebisha na ananiogopa na anamheshmu sana mme wake. Asanten sana wakuu