Nawashukuru VIJANA wa CCM kwa kuitikia wito kusadia waathirika DSM

Honey K

JF-Expert Member
Sep 14, 2008
629
72
Nawashukuru sana sana vijana wa CCM na wazalendo wengine wote baada ya kutoa wito kushiriki kutoa misaada mbalimbali kwa waathirika wa mafuriko yaliyotokea Dsm, mmejitekeza kwa wingi na moyo mkubwa kwa misaada na kujitolea kufanya usafi na kusaidia shughuli mbalimbali kwenye maeneo mbalimbali. Nilimopita nimewakuta mkifanya kazi lakini hata wananchi waliothirika wameshukuru sana uwepo wenu. Nawashukuru HUO NDIO UZALENDO, UUNGWANA NA UTU. MUUNGWANA NI VITENDO.....

Wengine wote bila kujali itikadi zenu naomba mjitolee kusaidia ndugu zetu watanzania wenzetu walioathirika.
 
Nawashukuru sana sana vijana wa CCM na wazalendo wengine wote baada ya kutoa wito kushiriki kutoa misaada mbalimbali kwa waathirika wa mafuriko yaliyotokea Dsm, mmejitekeza kwa wingi na moyo mkubwa kwa misaada na kujitolea kufanya usafi na kusaidia shughuli mbalimbali kwenye maeneo mbalimbali. Nilimopita nimewakuta mkifanya kazi lakini hata wananchi waliothirika wameshukuru sana uwepo wenu. Nawashukuru HUO NDIO UZALENDO, UUNGWANA NA UTU. MUUNGWANA NI VITENDO.....

Wengine wote bila kujali itikadi zenu naomba mjitolee kusaidia ndugu zetu watanzania wenzetu walioathirika.
wewe ni nani ulietoa wito maana ninavyojua hii ID ulishaikataa na je ulijuaje kuwa hao walikuwa wanafanyakazi hizo ni vijana wa CCM...umeshamuomba msamaha Lowasa....
 
Mi nilichoona na mpaka sasa bado wapo hapa kwenye bonde la msimbazi kuelekea daraja salenda ni vijana wa CCM wakiendelea kufaidi matunda ya mafuriko, wakijipendelea mali zilizokwapuliwa na mafuriko.
Nafikiri ndo kusafisha anakokuongelea Nnauye Jr.
 
Hahahahahaha ati vijana wa CCM! Nchi imewashinda nyie watu na mnachosha kweli,mnisubiria majanga yatokee ndio mnaanza kuchukua hatua? Kwann hivi vitengo vya Maafa vipo kwa ajili ya nn maana nilishuhudia kwa masaa kadha vitu mbalimbali vikibebwa je mlikua wapi ati useme unawashukuru vijana wa CCM? Au walivaa jezi zenu? Mnachosha sana nyie watu
 
Kwann hivi vitengo vya Maafa vipo kwa ajili ya nn maana nilishuhudia kwa masaa kadha vitu mbalimbali vikibebwa je mlikua wapi ati useme unawashukuru vijana wa CCM? Au walivaa jezi zenu? Mnachosha sana nyie watu
kwa ajili ya mbwembwe siku za maazimisho.....hata hivyo hawana vifaa tusiwaseme sana
 
amazing

we need to sympathize with the berieved ones and gives them moral and material support but this parrot is singing unsung songs
 
Ungeacha kutaja tu uhusiano wa hao vijana na chama,maana nyie ndio mmeshindwa kuweka utaratibu wa kudumu kupunguza,kuzuia au kuwa na mikakati ya dharura kudhibiti mafuriko kama ya wakati huu
 
Hao wanakula posho tu hawana tofauti na waalimu au madaktari wa serikali wanao acha kuwajibika kwenye gov hosp ila wana hosp zao mitaani na walimu hawafundishi wanafungua matuition mitaani ,tunalipa kodi ili zinunuwe dawa magari ya wagonjwa dawa magari rescue ,maji salama ya bomba, barabara ,shule ,badala yake mnatumia kununulia mashangingi ya kutanulia halafu unasifia ujinga wakati kuna kitengo cha maafa
 
Nawashukuru sana sana vijana wa CCM na wazalendo wengine wote baada ya kutoa wito kushiriki kutoa misaada mbalimbali kwa waathirika wa mafuriko yaliyotokea Dsm, mmejitekeza kwa wingi na moyo mkubwa kwa misaada na kujitolea kufanya usafi na kusaidia shughuli mbalimbali kwenye maeneo mbalimbali. Nilimopita nimewakuta mkifanya kazi lakini hata wananchi waliothirika wameshukuru sana uwepo wenu. Nawashukuru HUO NDIO UZALENDO, UUNGWANA NA UTU. MUUNGWANA NI VITENDO.....

Wengine wote bila kujali itikadi zenu naomba mjitolee kusaidia ndugu zetu watanzania wenzetu walioathirika.
Kuna watu huwa nawasikia wanadaieti uwezo wako kichwani ni kama kifuu cha nazi, mimi huwa nawabishia, lakini hapa nataka kushawishika. Inakuweje unasisitiza itikadi ziwekwe pembeni wakati huu alafu kwenye kichwa cha habari kuna neno CCM ambalo unafaham fika huwapotezea furaha watu wengi wenye akili timamu linapotamkwa? Umeniharibia siku yangu
 
Nawashukuru sana sana vijana wa CCM na wazalendo wengine wote baada ya kutoa wito kushiriki kutoa misaada mbalimbali kwa waathirika wa mafuriko yaliyotokea Dsm, mmejitekeza kwa wingi na moyo mkubwa kwa misaada na kujitolea kufanya usafi na kusaidia shughuli mbalimbali kwenye maeneo mbalimbali. Nilimopita nimewakuta mkifanya kazi lakini hata wananchi waliothirika wameshukuru sana uwepo wenu. Nawashukuru HUO NDIO UZALENDO, UUNGWANA NA UTU. MUUNGWANA NI VITENDO.....

Wengine wote bila kujali itikadi zenu naomba mjitolee kusaidia ndugu zetu watanzania wenzetu walioathirika.
Nilidhani na wewe ulishiriki kufanya kazi, kumbe ulikuwa unapita kuwaangalia wenzako wakifanya kazi... kaaazi kweli kweli
 
Mwisho na kwenye kutoa hiyo misaada kwa waathirika utasema tuwasaidie wa wanachama wa CCM kwanza!
 
Nawashukuru sana sana vijana wa CCM na wazalendo wengine wote baada ya kutoa wito kushiriki kutoa misaada mbalimbali kwa waathirika wa mafuriko yaliyotokea Dsm, mmejitekeza kwa wingi na moyo mkubwa kwa misaada na kujitolea kufanya usafi na kusaidia shughuli mbalimbali kwenye maeneo mbalimbali. Nilimopita nimewakuta mkifanya kazi lakini hata wananchi waliothirika wameshukuru sana uwepo wenu. Nawashukuru HUO NDIO UZALENDO, UUNGWANA NA UTU. MUUNGWANA NI VITENDO.....

Wengine wote bila kujali itikadi zenu naomba mjitolee kusaidia ndugu zetu watanzania wenzetu walioathirika.

Mkuu Leo hujaibiwa Password yako? Huchelewi kuiruka Id yako na kusema sio wewe uliyeposti Magamba mnaogopa mpaka mnakimbia vivuli vyenu na kujiruka mweyewe.

Halafu nasikia Wengi wao hao vijana wako unaowasifia ni vibaka wa kuiba misaada ya walengwa walioathirika na haya Mafuriko. Nimesoma kwenye Nipashe kuwa wanaiba vitu na kuondoka navyo makwao. Kweli CCM ni Janga laTaifa. Ufisadi mpaka kwenye vijana wenu au ndio mnawafundisha ili wakiwa kwenye uongozi wawe na experience ya Ufisadi. Ufisadi na CCM ni kama Tumbo na Mavi
 
Mkuu Nape ulishawahi kusema kuwa nchi ya Tanzania ina wenyewe na wenyewe ni CCM, je sisi tusiokuwa na vyama nchi yetu ni ipi? au nitaratibu zipi tuchukue ili tuna na hiyo Hatimiliki ya Nchi yetu tusio na vyama.
 
Mi nilichoona na mpaka sasa bado wapo hapa kwenye bonde la msimbazi kuelekea daraja salenda ni vijana wa CCM wakiendelea kufaidi matunda ya mafuriko, wakijipendelea mali zilizokwapuliwa na mafuriko.
Nafikiri ndo kusafisha anakokuongelea Nnauye Jr.

that's ma boy!
 
Mi nilichoona na mpaka sasa bado wapo hapa kwenye bonde la msimbazi kuelekea daraja salenda ni vijana wa CCM wakiendelea kufaidi matunda ya mafuriko, wakijipendelea mali zilizokwapuliwa na mafuriko.
Nafikiri ndo kusafisha anakokuongelea Nnauye Jr.

Kufa kufaana, Waacheni Vijana wajifunze Ufisadi. Wakikuwa kama kaka zao wa Magogoni watakuja kutuingiza kwenye Mikataba ya Kipumbavu na ya kijinga kama waliopo Magogoni. Ukiona majanga na Vijana wa CCM wakiwa wanakimbilia huko ujue kuna mnuso wa kukwapua misaada
 
Nawashukuru sana sana vijana wa CCM na wazalendo wengine wote baada ya kutoa wito kushiriki kutoa misaada mbalimbali kwa waathirika wa mafuriko yaliyotokea Dsm, mmejitekeza kwa wingi na moyo mkubwa kwa misaada na kujitolea kufanya usafi na kusaidia shughuli mbalimbali kwenye maeneo mbalimbali. Nilimopita nimewakuta mkifanya kazi lakini hata wananchi waliothirika wameshukuru sana uwepo wenu. Nawashukuru HUO NDIO UZALENDO, UUNGWANA NA UTU. MUUNGWANA NI VITENDO.....

Wengine wote bila kujali itikadi zenu naomba mjitolee kusaidia ndugu zetu watanzania wenzetu walioathirika.

Mbona wewe umejali itikadi ya CCM. Eti vijana wa CCM, stupid idiot.
 
Unadhani utapandisha chama kwa kutumia haya maafa,wapo wengi waliofanya usamalia, nadhani hupaswi kuingiza itikadin zako hapa maana serikali yako ndo ilipaswa kuwajibika tangu mwanzo lakini mmelala mpaka watu wengine wakakosa msaada kwa silku mbili.Ungekuwa uchaguzi mdogo pesanyingi mgepeleka mgeisha au ingekuwa kudhibiti chadema mgekodisha mpaka majeshi ya nje yangeletwa lakini kwa hili mnasingizia UVCCM
 
Unadhani utapandisha chama kwa kutumia haya maafa,wapo wengi waliofanya usamalia, nadhani hupaswi kuingiza itikadin zako hapa maana serikali yako ndo ilipaswa kuwajibika tangu mwanzo lakini mmelala mpaka watu wengine wakakosa msaada kwa silku mbili.Ungekuwa uchaguzi mdogo pesanyingi mgepeleka mgeisha au ingekuwa kudhibiti chadema mgekodisha mpaka majeshi ya nje yangeletwa lakini kwa hili mnasingizia UVCCM

Na wangeshusha masufuria ya Pilau kama igunga. Shame on them
 
Back
Top Bottom