Nawashukuru sana sana vijana wa CCM na wazalendo wengine wote baada ya kutoa wito kushiriki kutoa misaada mbalimbali kwa waathirika wa mafuriko yaliyotokea Dsm, mmejitekeza kwa wingi na moyo mkubwa kwa misaada na kujitolea kufanya usafi na kusaidia shughuli mbalimbali kwenye maeneo mbalimbali. Nilimopita nimewakuta mkifanya kazi lakini hata wananchi waliothirika wameshukuru sana uwepo wenu. Nawashukuru HUO NDIO UZALENDO, UUNGWANA NA UTU. MUUNGWANA NI VITENDO.....
Wengine wote bila kujali itikadi zenu naomba mjitolee kusaidia ndugu zetu watanzania wenzetu walioathirika.
Wengine wote bila kujali itikadi zenu naomba mjitolee kusaidia ndugu zetu watanzania wenzetu walioathirika.