Nawararua rarua

Nawararua rarua

Unajua kwa lugha ya kule kenya mleta mada eee kurarua rau ni kula mzigo ss..... Hawali ulinitatanisha aisee na kibwagizo chako
 
Hahahh ndo hivyo nilitumiwa screenshot flan ya group ya whatsapp ya mambo ya mpira ndo walikua wanamuongelea kuna mtu kamgonga kwa laki 4 tena ni super star mwenzie walivyoandika ni aibu jamaa alivyokula
Ww je shunie mie iko taka veve
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom