SangaweJr
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 2,990
- 2,669
Kushusha vitu kutoka kwenye net, mfano movie series nk huwa unadawnload idadi kadhaa kisha unaweka simu pembeni unalala hadi asubuhi, mzigo umekamilika, hakuna anaekesha.sasa mambo ya sa sita tena ata ufanisi wa kazi unapungua kukesha nako sio ishu wachache weny moyo wakukomaa vya bure vinaumiza