Hivi wanaotumia Voda hawaoni mitandao ya bei nafuu au ndio mtandao wa matajiri?

comrade_kipepe

JF-Expert Member
Jun 25, 2019
2,732
2,477
ama hakika,mimi ndimi.

Asee huwaga nashangaa sana huduma za voda zilivyo bei juu, najiulizaga hao wanaotumia voda si wanapigwa sana? Au ni mtandao wa matajiri?.

Yani kifurushi cha week MB 500 kwa Shilingi 3,000/= ? ni MB chache sana kwa bei hiyo, sijui hawa voda wanajiamini nini.

Wakati mimi kwa 1000 tuu nakula GB1 na madakika na meseji kibao kwa week kwenye halotel na mtandao upo kasi.


Eebana hawa wahuni ni kuwapiga chini tu kwanza hawana Privacy ya taarifa za wateja.

Kama unalaini yako ya voda hapo fuata kielelezo katika picha hii.

FB_IMG_1564572214456.jpeg
 
ama hakika,mimi ndimi.

Asee huwaga nashangaa sana huduma za voda zilivyo bei juu, najiulizaga hao wanaotumia voda si wanapigwa sana? Au ni mtandao wa matajiri?.

Yani kifurushi cha week MB 500 kwa Shilingi 3,000/= ? ni MB chache sana kwa bei hiyo, sijui hawa voda wanajiamini nini.

Wakati mimi kwa 1000 tuu nakula GB1 na madakika na meseji kibao kwa week kwenye halotel na mtandao upo kasi.


Eebana hawa wahuni ni kuwapiga chini tu kwanza hawana Privacy ya taarifa za wateja.

Kama unalaini yako ya voda hapo fuata kielelezo katika picha hii.

View attachment 1168167
Mkuu uliyakatakata kwa kutumia zana gani, mbona mengi'ivoo?
Siyo kosa kisheria kuharibu mali hadharani, kwanini usingeyadumbukiza choo cha shimo kimyakimya?
 
Back
Top Bottom