LIFE OWNER
Member
- Feb 17, 2012
- 64
- 0
i hope u are not a man!
i hope u are not a woman!
i hope u are not a man!
rudi kwanza nyumbani usije ukakuta mlango umefungwaKajipindua mangapi leo?
i hope u are not a woman!
hahahahaha multiple IDS at work! Ukiona manyoya ujue keshaliwa
Hamlali, siyo?
Kwani ana ID nyingine hum?
hee babu umeota nini?
i fill pity for you,very pity
Kajipindua mangapi leo?
Babu naona kashtuka ndotoni halafu kakuta kigoli wake konny kasepa sasa anahaha
Mi 2 .......
Mkuu kwa maswali tata nakusalute, haya (Kbkbn)a tupe jibu.
Mkuu nilikuwa nadhani wewe ni mstaarabu kumbe zero kabisa kama unastress kalale basi au sio
bhangi usiku huu,kazi kweli kweli
Nitonye na kabakabana..... Hebu laleni mnanisumbua na makelele yenu.
Kwani wewe umeshaachaga?!
Siyo stress mkuu nimeonja tuglass tumoja twa the spirit of the nation naona ndio kananipeleka peleka hapa.
nitakupa kwa skype ili usikie live