toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,581
- 4,631
Katika jamii zilizobarikiwa sana ni hawa watu, kwanza wana akili nyingi sana, wajanja, wana maono wanawaza mbele na wanawaza maendeleo
Ukiachana na hayo wanawake wa kitusi mungu kawapa muonekano nzuri sana, ni warefu, wana umbo zuri sana wana uzuri wa sura, umbo na sifa zote wamejaaliwa
Hata jamii zilizochukua nasaba huko wana akili nyingi sana mfano angalia wahaya na wachaga
Watusi ni jamii ya kuigwa sana hapa Africa tuna kila sababu ya kujifunza mengi kutoka kwa hawa watu.
Kwakweli wapo vizuri sana
Ukiachana na hayo wanawake wa kitusi mungu kawapa muonekano nzuri sana, ni warefu, wana umbo zuri sana wana uzuri wa sura, umbo na sifa zote wamejaaliwa
Hata jamii zilizochukua nasaba huko wana akili nyingi sana mfano angalia wahaya na wachaga
Watusi ni jamii ya kuigwa sana hapa Africa tuna kila sababu ya kujifunza mengi kutoka kwa hawa watu.
Kwakweli wapo vizuri sana