nawapenda mabinti wembaba.

Kuna jukwaa la matangazo madogo madogo, unaweza peleka tangazo lako kule.

upo sawa! Self expression za hivi kila mtu akiexpress vinavyomdatisha si tutajaza threads? Nisaidie muulize umri wake na division alopataga.
 
Ahahahaaaa..kwanini hukuweka picha zao?...maana hao vimodo wapo wa aina mbalimbali...wapo wenye vitako kaa piritoni, wapo wenye "vijungu mwiba"..wapo wenye vikundu juu...ila pia ukumbuke navyo ni pasua kichwa balaaa..full vituko plus ukatuni..na hasa akiwa mwembamba na mfupi..sijui warefu wakoje coz kwenye warefu mie napenda awe na nyama hasa ukila unakula aliyenona...unakamata twiga wa ukweli..mzee wa magondi ya haja.

Nasisitiza weka picha mkuu.
 
upo sawa! Self expression za hivi kila mtu akiexpress vinavyomdatisha si tutajaza threads? Nisaidie muulize umri wake na division alopataga.
Watu wa namna yako wenye maswali kama haya ujue ni wale waliofeli sana halafu hawana ajira apo utakua umechukua 30 min kwenye internet cafe unaanza kupost hay, mind your own business, hichi ndicho ninachopenda na nimeamua kupost weka yako, servers zikijaa mods wapo watafuta tutajaza tena, this is what is all about dude , kuwa mpole
 
hadi majibu ya form four yaje kutoka mwakani tutakoma sana humu MMU
 


Kwahiyo?
 
mwanamme anaependa wanawake wembamba ujue huyo ni mvivu na hawezi, utchukuaje binti kama mwanao, beba zigo mwenyewe ukiliangalia unajisifia, yaani kama vile unaua tembo
 

athanteee,tunakupenda pia kwakwel ila uache ubahili
 
...hahahahaha utaishia kushika mapembe, wenzako wakamua maziwa.........au yaleyale....utaishia kunawa tu, kula wala wenzio....hadi raha jamani!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…