Wewe utawaonya kama nani?wewe mtoto wa kiwete,mzindakaya etc???
Halafu ujue ccm hakuna wa kumlaumu aliyekichafua ccm ila yeyote aliyemo ccm ameshiriki kwa namna moja au nyingine!!!!wote wachafu,mmeoza, ni wadhaifu,kama huamini fatilia chaguzi zenu za ndani then useme nani msafi,au sikiliza matamko ya viongozi wenu yalivyo dhaifu,hasa yale ya mwenyeketi wenu dhaifu!!!!yaani msilaumiane .cha maana chukua chako mapema (ccm)beba hata kalenda utatumia.
Magamba hamna maana wote.naongea hivi najiaamini kama mtanzania.
kweli wewe ni mama jack,inaonekana baba jack hajakupa ile kitu vizuri.umeandika maneno mengi bahati mbaya yote ni uchafu anaotoa bata kule nyuma