MARUMARU
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 250
- 53
Kaka,
Sometimes I wonder what prompts people into writing posts with the sole purpose of distorting facts and misleading the public.In as much as I will not join issues with the poster of this misconstrued facts, I want to quickly inform whoever it is that we are not taken-in by this Lengthy trash of your story.
Nimekwambia uthibitishe hayo uliyoandika.Name calling hapa JF hairuhusiwi.mtego wako wa kunifanya niingie katika kundi la wavunja kanuni siwezi kuingia.Jipange kuongoza vijana wako mkuu.weka tu uchaguzi huru na wa haki.hamchelewi kuwataja wengine kwamba siyo Raia
Mzee ukiona mambo yamekuwia magumu tumia mbinu ya dharura kama mwenyekiti wako wa chama taifa.azima mbinu yake ya kumchagua spika.sema zamu hii makamu mwenyekiti UVCCM atakuwa jinsia hii,kukiwa kugumu ongeza vigezo vigumu vya dharura
mkuu huyu jamaa mnajuana au vipi? Coz naona kama amekungangania kweli kweli