TEMILUGODA
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 1,389
- 285
Wanajamvi,mi mwenzenu nawaonea huruma wabunge vihiyo pale mjengoni kwani aidha hawachangii au hawajengi hoja ambayo ni constructive.Nawaonea wivu wananchi walio wachagua kwani pengine walimsahau Mungu wakachagua pesa eg.MAJI,KOMBA NK.