Ituzaingo Argentina
JF-Expert Member
- Jun 20, 2020
- 1,870
- 2,176
Habarini wakuu?
Nawaomba Ndugu zangu Waislamu tuendelee kususia bidhaa za hawa madhaalim, Israel na Marekani kama vile unywaji wa kampuni ya Pepsi, na kampuni ya Coca cola, McDonald's n.k, huko walipo wanapata hasara, hivyo tuendelee kukazia hapo hapo Ndugu zangu, kama kweli unawapenda hawa ndugu zetu wanaopitia mitihani.
Kwa wale wasio waislam mliopo upande wa freedom fighters, nawaombeni msusie bidhaa zao hawa madhaalim.
Ahsanteni sana wakuu
Mods, Nawaomba msiufute huu uzi
Nawaomba Ndugu zangu Waislamu tuendelee kususia bidhaa za hawa madhaalim, Israel na Marekani kama vile unywaji wa kampuni ya Pepsi, na kampuni ya Coca cola, McDonald's n.k, huko walipo wanapata hasara, hivyo tuendelee kukazia hapo hapo Ndugu zangu, kama kweli unawapenda hawa ndugu zetu wanaopitia mitihani.
Kwa wale wasio waislam mliopo upande wa freedom fighters, nawaombeni msusie bidhaa zao hawa madhaalim.
Ahsanteni sana wakuu
Mods, Nawaomba msiufute huu uzi